Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mikoa ipo kiulaya mkuu kuliko hata dsm., au unafikiri utitiri wa vijumba uchwara ndio ulaya?
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Mnatudharau sana sisi wa mikoani..

Naomba kuuliza hivi daresalama sio mkoa?
 
Back
Top Bottom