Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kiukwel ht mm hapa Dsm naona najionea asee, acha tupambane ht tukiishia NY city pale sio mby
 
Hahaha ww kuwa busy kuskiliza dada ako akiguguna chumbani. Kuhusu shughuli nipo nipo tu na si vyema kujua kwakua ww upo busy 24/7
Sawa,mkuu halina shida hilo all the best kwa Dada yangu kumkatikia vizuri Shem ndio maana bado tupo DSM kwa hisani ya shemeji.
Bado hujanijibu kigamboni sehemu gani nikaribie.
Kama shemeji atanipa ruhusa ya kutoka Siku ya weekend nikirejea ndoani DSM.
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Si afadhali nkasi, je, wale wanaoishi bumbuli sijui mlalo huko wana hali gani unafikiri?
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuhakikishia wanaopamba majiji yote Tz ya Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma hawachumii kwenye majiji hayo, pale jijini wanakuja tu kutumia pesa.

Dar wakulima,wachimba madini wavuvi na wafugaji ndo wanaleta pesa hapo,

Mwanza wanaochimba madini geita, simiyu nk ndo wanapeleka pesa pale,

Mbeya wanaolima mpunga Mbarali, maparachichi na Chai Tukuyu na wanaochimba dhahabu Chunya ndo wanalisha Jiji. Hakuna Jiji linapambwa na wazawa.

Wazawa wa majiji wengi ni wafanyakazi wa hao niliowataja ndo waajiri

Wakazi wa hayo majiji hata kutembeza gari mwezi Hadi mwezi ni issue hawana hela magari makali hapa tz yapo mikoani fanya risach. Matajiri wengi Mbeya na Arusha kwa mfano wanalima sana Mahindi Rukwa na Katavi na Kuchimba kito Cha thamani Mirerani. Amka wewee

Ni naishi Dar ila sikubaliani nawe. Juzi nilikuwa Ileje Kuna jamaa anapeleka mahindi Malawi Tani zaidi ya 50,000 Kila mwezi we wa Dar utamkuta? Futa akili mgando pesa Iko mkoani kwenye Dhahabu, Mbao, Mifugo, Samaki, Mali mbichi nk. Amka wewee. Mjini labda ufungue genge na gereji
 
Wewe kwa akili zako za kidalali na ganji hutatoboa! Na unaposema sitimbi mi nkushangaa! Saizi hata mikoani huko poa tu! Mtu akiwa Arusha,Mwanza au Mbeya unaweza kusema yuko sitimbi? Dar wanaofeli ni wengi kuliko wanaotoboa!
Ni wapi niliposema mkoani,huwezi toboa? Unaweza Ku quote hiyo sehemu?
Btw kutoboa au kutokutoboa ni kudra za Mungu na jitihada binafsi mahala popote muda wowote,sidhani kama kuna binadamu ana mamlaka juu ya mafanikio ya mwingine.
Tumia akili ndogo tu kuelewa pointi yangu then urudi kujibu najua muda huu umekula kilo 2 za ugali/wali brain iko tired na digestive process kua Kubwa ndo mana unawaza utumbo utumbo tu.
 
Sawa,mkuu halina shida hilo all the best kwa Dada yangu kumkatikia vizuri Shem ndio maana bado tupo DSM kwa hisani ya shemeji.
Bado hujanijibu kigamboni sehemu gani nikaribie.
Kama shemeji atanipa ruhusa ya kutoka Siku ya weekend nikirejea ndoani DSM.
Mmh sio lazima kupajua ninapoishi
 
Mmh sio lazima kupajua ninapoishi
Kwa undugu tu,nikaribishe uwe mwenyeji wangu wa pili mjini daslam baada ya shemeji.
Kigamboni ipi maan nmejitahd kuzunguka kwa kiasi kigamboni nikiwa na shemeji
Umejenga wapi hapo boss.unipe michongo nitoke kwa Shem
Share your experience hapa tufaidike na ww au elimu ilikuleta DSM kijana umemalza hapo geto unapaona kwako
Unawaangusha wasomi wenzio ,kushindwa na la pili B kua na uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Kwa undugu tu,nikaribishe uwe mwenyeji wangu wa pili mjini daslam baada ya shemeji.
Kigamboni ipi maan nmejitahd kuzunguka kwa kiasi kigamboni nikiwa na shemeji
Umejenga wapi hapo boss.unipe michongo nitoke kwa Shem
Share your experience hapa tufaidike na ww au elimu ilikuleta DSM kijana umemalza hapo geto unapaona kwako
Unawaangusha wasomi wenzio ,kushindwa na la pili B kua na uwezo mdogo wa kufikiri.
Hahaha sawa
 
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.

Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mtu wa tadanhimba kuliko Dar uswahilni
 
Hoja ipi malaya awe nayo mkuu. Alafu nafanyaga umalaya na mama ako nashukuru kwa kulijua hilo
Hii ya mwisho nakujibu ,kama unafanya na mama yangu hongera wote ni vichwa Maji ww na Huyo mama angu mmeamua kua Malaya .ni starehe zenu
Siku nyingine ukiona comment iko juu ya uwezo wako wa akili unaiacha Inakua busara zaidi huwezi ukaweza vyote kijana.
Tafuta kazi ya kufanya uwe busy ili akili ikue ,ukishindwa omba msaada usaidiwe huko visiwani unakokaa.
Heshimu watu,watu wakuheshimu.
Uwe na jioni njema ndugu.
 
Hii ya mwisho nakujibu ,kama unafanya na mama yangu hongera wote ni vichwa Maji ww na Huyo mama angu mmeamua kua Malaya .ni starehe zenu
Siku nyingine ukiona comment iko juu ya uwezo wako wa akili unaiacha Inakua busara zaidi huwezi ukaweza vyote kijana.
Tafuta kazi ya kufanya uwe busy ili akili ikue ,ukishindwa omba msaada usaidiwe huko visiwani unakokaa.
Heshimu watu,watu wakuheshimu.
Uwe na jioni njema ndugu.
Unajieleza sana subiri nimfikishe mama yako kileleni akiwa anatetemeka miguu ntarudi kwako
 
Duh Mimi Sasa nnaishi nkasi na mzawliwa wa tandahimba. Kwisha habari yangu
 
Unajieleza sana subiri nimfikishe mama yako kileleni akiwa anatetemeka miguu ntarudi kwako
Sawa kijana ndio uwezo wako wa akili ulipoishia, just imagine unaongea vitu vya kufikirika.
Siku ukiwa mwanaume utaelewa ,uko sahihi kulingana na uvulana wako.
 
Back
Top Bottom