Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,327
Na anataka uende pm myaunde yawe bien!🙏😂Kwakweli 😃🤣🤣🙌
Na anataka uende pm myaunde yawe bien!🙏😂Kwakweli 😃🤣🤣🙌
Waliopo mikoani ni waoga wa maisha na wanajipooza na wanawake wenyematako makubwa..Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.
Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Subhanallah!Wacha maneno!🤔Waliopo mikoani ni waoga wa maisha na wanajipooza na wanawake wenyematako makubwa..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aliniambia anataka anipe kazi,, nataka nimpelekee vyeti vyangu naona kanifungia geti.ubinadamu kazi sana🤦♀️🤦♀️Na anataka uende pm myaunde yawe bien!🙏😂
Namuamini.Utapata kazi.Yupo Daslam!Aliniambia anataka anipe kazi,, nataka nimpelekee vyeti vyangu naona kanifungia geti.ubinadamu kazi sana🤦♀️🤦♀️
Daslam kila kitu kinapatikana sio😃😃🤣🤣Namuamini.Utapata kazi.Yupo Daslam!
🤣🤣🤣 huenda huko waliko kuna masrahi kuliko DSMKuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.
Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi akili.Kazi ni kwako kuvaa miwani au vikombe machoni.Daslam kila kitu kinapatikana sio😃😃🤣🤣
Basi sawa,, ngoja nisubiri labda atafungua geti😌😌😂Hadi akili.Kazi ni kwako kuvaa miwani au vikombe machoni.
Sio rahisi,Kusinge kua na joblessDaslam kila kitu kinapatikana sio😃😃🤣🤣
😅😅😅Endelea kushinda kitambaa cheupe ukila raha za dunia na beer za kugongea, ukigonga 40 ndio utajua Tandahimba na dar wapi wanaenjoy dunia.
Geti la mbinguni.Wokovu umefika malangoni mwako.Basi sawa,, ngoja nisubiri labda atafungua geti😌😌😂
Hata kuokota makopo?Sio rahisi,Kusinge kua na jobless
Wangeokota kama ni rahisi 😀Hata kuokota makopo?
Wajifunge matambara wapige shows za Joyce wowowo!Hamna namna.Wangeokota kama ni rahisi 😀
Ni ulimbukeni , ukimwisha hata yeye atahamia Tandahimbaduh, mbona kuna watu nawajua wamehamia mikoani hawataki kurudi DSM?
Au DSM kuna faida gani kubwa hebu tueleweshane
Mimi nipo Mabama huku Tabora na ninaenjoy.Ni ulimbukeni , ukimwisha hata yeye atahamia Tandahimba