Ukiweza kushinda hamu na hashki umetoboa

Ukiweza kushinda hamu na hashki umetoboa

Katika haya maisha sikuwa najua kitu hicho kama kinaweza kukufilisi kabisa
ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande

Nyege ni mbaya kwenye pesa kuliko wachawi


Ukiweza kuishinda basi hata kama unauza karanga ...utatoboa
  • Si washerati wala wazinzi wataurithi ufalme wa Mungu, 1 Kor. 6:9–10.

  • Mungu atawahukumu malaya na wazinzi, Ebr. 13:4
 
Katika haya maisha sikuwa najua kitu hicho kama kinaweza kukufilisi kabisa
ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande

Nyege ni mbaya kwenye pesa kuliko wachawi


Ukiweza kuishinda basi hata kama unauza karanga ...utatoboa
Ukiachana na kale kamsemo ka karibu tuzogoe tuzogoane, masai dada ni ID nyingine ya Binti wa zamani tu
 
Mnakumbuka kisa cha Yusufu alielazimshwa na mke wa mfalme wapige show show lakini Yusufu alikataa pamoja na genye za mke wa mfalme za kutaka kumbaka Yusufu unambiwa kijana alikimbia nje, ndipo mke wa mfalme akamsingizia amembaka mke ndipo mfalme akasema awekwe gerezani lakini biblia inatuambia Yusufu alitoka gerezani kwa msamha wa farao kwa kuweza kutafsiri ndoto alieiota farao huo ulikua ni mpango wa Mungu kumuinua Yusufu kwasababu alikwepa vishawishi vingi na Mungu alipendezwa nae,

Yusufu asingetenda uovu huu mkubwa, na kumtendea Mungu dhambi, Mwa. 39:7–12.
 
Katika haya maisha sikuwa najua kitu hicho kama kinaweza kukufilisi kabisa
ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande

Nyege ni mbaya kwenye pesa kuliko wachawi


Ukiweza kuishinda basi hata kama unauza karanga ...utatoboa
Je nyie KE ambao hamuongi kwanini hamtonboi?
 
Back
Top Bottom