masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,378
- 19,267
Katika haya maisha sikuwa najua kitu hicho kama kinaweza kukufilisi kabisa
ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande
Nyege ni mbaya kwenye pesa kuliko wachawi
Ukiweza kuishinda basi hata kama unauza karanga ...utatoboa
ila baada ya kushuhudia mtu aliyekua anamiliki maduka mawili ya vinywaji vya jumla kurudi kuuza matikiti ya vipande
Nyege ni mbaya kwenye pesa kuliko wachawi
Ukiweza kuishinda basi hata kama unauza karanga ...utatoboa