Ukiwaangalia kwa makini wafuasi wa Trump na wale wa Bobi Wine utagundua kuwa Tundu Lissu hana wafuasi bali mashabiki!

Watanzania waoneni kama walivyo kilichomkuta yule dada wa marekani mpaka leo alishaamua kuwatazama tu Watanzania. Amebaki kupiga tu umbea mtandaoni.
 
The good thing ni kuwa CCM m'mebaki wenyewe sasa fanyeni mnavyoweza the country belongs to you
 
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa JF na ID fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Mbona title ya Thread inavutia halafu ulichokiandika ni mapupu matupu bro!. Madai ya Trump/Bob Wine/Lissu yanafanana na mbona chadema walijitokeza hadharani kushutumu wizi wa kura uliofanyika, au wewe ulitaka watoke hadharani ya wapi?.
 
Mbona title ya Thread inavutia halafu ulichokiandika ni mapupu matupu bro!. Madai ya Trump/Bob Wine/Lissu yanafanana na mbona chadema walijitokeza hadharani kushutumu wizi wa kura uliofanyika, au wewe ulitaka watoke hadharani ya wapi?.
Walitoka hadharani ya wapi?
 
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa JF na ID fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Aaaaaaaaahhhhhhhhh!!!!! Nyie mijitu vipi? Dakika moja mnawaita wazungu mabeberu na majina mengine kibao mabaya halafu dakika nyengine mnawatiza hao hao kwa insoiration na kulinganisha na watu au maisha ya nchini kwenu!!? Jipatie uhuru wako wa kimawazo.
 
Back
Top Bottom