Ukiwaangalia kwa makini wafuasi wa Trump na wale wa Bobi Wine utagundua kuwa Tundu Lissu hana wafuasi bali mashabiki!

Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa Jf na id fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Ulitaka apigwe risasi afe? mbona baba ako hakutokea kwenye maandamano au wewe? mbona Mandela alikimbia? Marekani umewahi kuona police anapiga waandamanaji kama huku?
 
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa Jf na id fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Trump alichochea vurugu na ndio sbbu watu waliingia barabarani. Hebu tusichanganye vitu na uongo....
 
Pale nyani waliposhangilia mwenye shamba kufa ndio ambavyo familia ya kijani ilishangilia kubaki wenyewe sasa wanakosa wakumtupia mpira bali mnyukano wa wao kwa wao na nyani wakajikuta msimu uliofuata hawana pa kushibisha matimbo yao ! 5 Zaidi akikataa tumlazimishe au nasema uongo ndugu zangu?
Wambeki washirikina tupu
 
Kwani

mashabiki na wanachama wa CDM mliwanunua wote ndugu?
Mliona nguvu ya umma wa CDM? kama sio wizi na uporaji mngekuwa wapi!
Nguvu ya CDM tungeiona pale Lissu alipotangaza maandamano baada ya huo wizi na uporaji ila hatukuona huo umma ndio kwanza watu walikuwa bize na shughuli zao, maandamano yaliishia mitandaoni tu.
 
Nguvu ya CDM tungeiona pale Lissu alipotangaza maandamano baada ya huo wizi na uporaji ila hatukuona huo umma ndio kwanza watu walikuwa bize na shughuli zao, maandamano yaliishia mitandaoni tu.
Lisu alikuwa anatembelea nyota ya maalim Seif!
 
Back
Top Bottom