You got it wrong mkuu,
Ukialika mtu kwa out au date, upo responsible kwa kila kitu. Unaweza kumwambia mtu mtoke out for dinner, yeye akakuambia hayupo vizuri, kwanza hakuwa na plans za kutoka, lazima wewe ndio ujipange for everything.
Ila huyo mtu akikuomba date/out basi yeye ndio ana jukumu la kukupa wewe huduma ya vinywaji na chakula.
Lakini pia kuna ile ya kushare costs au kuchangia 50/50, hayo ni makubaliano yenu ambapo nadhani kwa Afrika hiyo ni taboo, haipo, ni wanawake wachache sana wapo willing kushare costs.