kwani huyo mtu alikujajeSi ndio.
Unamtoa mtu kibaha mpaka Masaki, Unataka arudije sasa 😂
hilo lilikuwa jini mtu lingeenda kukuchuna ukauke kaukaaaaaaMiaka ya nyuma kidogo kuna siku ilikua mkesha wa mwaka mpya demu mmoja hivi alinicheki akaniambia nimfate twende kwenye show ya cristian bella. Nikamwanbia poa lakini kila mtu atalipa bill yake na pia achangie kidogo mafuta ya gari. Yule demu alipotea hewani na conversation yetu ikaishia hapo
MtaaniUpo wapi
Mtaa hauna jina huoMtaani
Mti mmojaMtaa hauna jina huo
YesKwa hiyo ni sahihi kupeleka mdomo na tumbo tu?
Sidhani kama umeelewa hoja yangu..Inakuwaje ata kachumbari ya 500 ashindwe?
Ndio dasalama eneo ganMti mmoja
Kwa sauti nyororonitoe mwaya nichangie kuita muhudumu 😀😀
Siku zote hizo nakusubiri tu sio?Ndio dasalama eneo gan
Ndio si mahiSiku zote hizo nakusubiri tu sio?
Maajabu😁Ndio si mahi
AuMaajabu😁
Ni sawa
Basi sawaNi sawa