Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,587
- 19,838
Seran wikendi ijayo nataka nikupeleke out afu tutatumia pesa zako😂Sichangii kitu!
Seran wikendi ijayo nataka nikupeleke out afu tutatumia pesa zako😂Sichangii kitu!
Unaweka sehemu za mwili wako rehani sometime😀😀Sichangii kitu!
Wewe hufai kabisanitoe mwaya nichangie kuita muhudumu 😀😀
kikubwa mchangoWewe hufai kabisa
Waje ata na ndizi, parachichi au pilipiliUnaalika watu kuftur halafu unawaambia waje na sukari ya uji
Kama utamuona mtuWaje ata na ndizi, parachichi au pilipili
Hapana labda siku ingine!Hata utelezi tu?
Uje ata na pilipili au limaokikubwa mchango
Sula la mtu kujilipia matumizi yake sio jambo la kujadiliana, ni wajibu binafsi ambao kila mtu anatakiwa kuujua. Otherwise uambiwe kabisa njoo nitakulipia lakini usipoambiwa hata kama umepewa mualiko jua tu unawajibika kubeba bajeti yako utayoenda kuitumia.Mimi natazama hilia swala kwa utofauti kidogo.
Anae alika mwenzake/Wenzake out ndo alipie bili.
Haiwezekani mwanaume mzima, Umebembeleza out kwa mtoto wa kike amekupa airtime tena unataka alipie huo ni ukichaa.
Kwenye mitoko yetu sisi Wanaume lazima tu splits billl.
Ninazo mbio😏Unaweka sehemu za mwili wako rehani sometime😀😀
Sawa, asante in advanceHapana labda siku ingine!
Karibu!Sawa, asante in advance
Yeah😅You talking to me mehn?🫤
Sula la mtu kujilipia matumizi yake sio jambo la kujadiliana, ni wajibu binafsi ambao kila mtu anatakiwa kuujua. Otherwise uambiwe kabisa njoo nitakulipia lakini usipoambiwa hata kama umepewa mualiko jua tu unawajibika kubeba bajeti yako utayoenda kuitumia.
Unaalika watu kuftur halafu unawaambia waje na sukari ya uji
Hapo na nauli umemlipia kabisa ya kuja na kurudi!