Ukitaka kuwanyang'anya silaha wamasai basi ubadilishe kabisa utamaduni wao hata nguo wasivae nguo zao zinazopepea

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,729
2,082
Twendeni kwenye mada baada ya Salam.

Yaani mmasai atembee na nguo yake ile inayoopepea pepea bila kuwa na rungu ,sime au fimbo ni ngumu sana.

Yaani hapo unachotakiwa kufanya ni overall nzima ya utamaduni wake yaani kuanzia sasa waache kuvaa mashuka na waanze kuvaa majeans na macadet na waanze kuchomekea kitu ambacho hakitawezekana.

Sijawahi kuona mmasai au msukuma amemshambulia mtu bila kumchokoza lkn pia ni hatari sana kutembea na vitu hivyo kwa maana kwamba inaweza ikatokea sintofahamu yoyote ikapelekea kutumia hizo silaha.

Mimi sijawahi kuona hawa wamasai wa mtaani wakipeleka moto kwa hizo silaha ndio mara ya kwanza kuona kwenye ile video ya juzi labda huko mashambani kwenye matatizo yao ya kila siku ya wakulima na wafugaji.

Sasa sijui huko Pemba wenzetu wameona nini mpaka kuanza kuwazuia hawa wanautamaduni wasibebe silaha.

Sisii huku bongo tunapanda nao hadi kwenye daladala,kwenye treni ndio nyumbani kwao.

Siungi mkono huu utamaduni wao lkn inabidi wafanye kazi kuwabadilisha 'mind set' zao mpaka waelewe.vinginevyo wawaambie wahame wote.
 
Wamasai wako na nidhamu na silaha zao over waachiwe tu na wapewe elimu ya kutumia silaha na sio kuwasumbua uzuri wanazihifadhi vyema
 
Twendeni kwenye mada baada ya Salam.

Yaani mmasai atembee na nguo yake ile inayoopepea pepea bila kuwa na rungu ,sime au fimbo ni ngumu sana.

Yaani hapo unachotakiwa kufanya ni overall nzima ya utamaduni wake yaani kuanzia sasa waache kuvaa mashuka na waanze kuvaa majeans na macadet na waanze kuchomekea kitu ambacho hakitawezekana.

Sijawahi kuona mmasai au msukuma amemshambulia mtu bila kumchokoza lkn pia ni hatari sana kutembea na vitu hivyo kwa maana kwamba inaweza ikatokea sintofahamu yoyote ikapelekea kutumia hizo silaha.

Mimi sijawahi kuona hawa wamasai wa mtaani wakipeleka moto kwa hizo silaha ndio mara ya kwanza kuona kwenye ile video ya juzi labda huko mashambani kwenye matatizo yao ya kila siku ya wakulima na wafugaji.

Sasa sijui huko Pemba wenzetu wameona nini mpaka kuanza kuwazuia hawa wanautamaduni wasibebe silaha.

Sisii huku bongo tunapanda nao hadi kwenye daladala,kwenye treni ndio nyumbani kwao.

Siungi mkono huu utamaduni wao lkn inabidi wafanye kazi kuwabadilisha 'mind set' zao mpaka waelewe.vinginevyo wawaambie wahame wote.
Broo kama jambo hulijui nyamaza ili uendelee kuheshimika.
Eti hujaona Mmasai akijeruhi mtu na panga!
Wakati sisi wakulima Kilosa,Lindi, Mtwara, Kilombero mpaka Ulanga Morogoro yote tunauwawa na hawa Wamasai!
Msiingieze chuki zenu juu ya Uzanzibari au siasa au udini na usalama wa raia.
Huenda ninyi ni Wamasai mnaingiza upumbavu wenu ulochanganyika na mavi ya ng'ombe mbwa nyie!
Ndugu zetu wakulima wanauwawa kila siku wanakimbia mashamba yao, alafu unatokea we mpumbavu mwenye akili yakwendea chooni jinga kubwa unawatetea hawa wenye akili ya ng'ombe mbwa we!!
 
Wanaonewa tu hawa.

Dhambi ya ubaguzi ni mbaya.
Na wewe inawezelana ni Mmasai akili yako kama ng'ombe, mshenzi mbwa we!
Ndugu zetu mashabani Kilosa Morogoro, Mtwara, Ulanga, Ifakara, Mtwara wameuwawa na hawa Wamasai na hayo masime yao!
Halafu mmekaa mnatetea ujinga, eti utamaduni mnataka mpaka baba zenu wauwawe nahayo mapanga ndiyo mtie adabu mbwa nyie!!
 
Wanaonewa tu hawa.

Dhambi ya ubaguzi ni mbaya.
Na wewe inawezelana ni Mmasai akili yako kama ng'ombe, mshenzi mbwa we!
Ndugu zetu mashabani Kilosa Morogoro, Mtwara, Ulanga, Ifakara, Mtwara wameuwawa na hawa Wamasai na hayo masime yao!
Halafu mmekaa mnatetea ujinga, eti utamaduni mnataka mpaka baba zenu wauwawe nahayo mapanga ndiyo mtie adabu mbwa nyie!!
 
Na wewe inawezelana ni Mmasai akili yako kama ng'ombe, mshenzi mbwa we!
Ndugu zetu mashabani Kilosa Morogoro, Mtwara, Ulanga, Ifakara, Mtwara wameuwawa na hawa Wamasai na hayo masime yao!
Halafu mmekaa mnatetea ujinga, eti utamaduni mnataka mpaka baba zenu wauwawe nahayo mapanga ndiyo mtie adabu mbwa nyie!!
Mbwa mama yako mzazi.
 
Na wewe inawezelana ni Mmasai akili yako kama ng'ombe, mshenzi mbwa we!
Ndugu zetu mashabani Kilosa Morogoro, Mtwara, Ulanga, Ifakara, Mtwara wameuwawa na hawa Wamasai na hayo masime yao!
Halafu mmekaa mnatetea ujinga, eti utamaduni mnataka mpaka baba zenu wauwawe nahayo mapanga ndiyo mtie adabu mbwa nyie!!
Mbwa baba yako mzazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom