mashuka

Ngonidzashe Makusha (born 11 March 1987) is a Zimbabwean sprinter and long jumper. He is the national record holder over 100 m and Long Jump for Zimbabwe with 9.89 s (+1.3 m/s) and 8.40 m (0.0 m/s) respectively. Both performances achieved during the 2011 NCAA Division I Championships in Des Moines, Iowa where he completed the 100 m long jump double. Following the 2 gold medals victory, Makusha became one of the only four, now five, athletes to win the double (100 m & Long Jump) at the NCAA championships. The four others are DeHart Hubbard (1925), Jesse Owens (1935 & 1936), Carl Lewis (1981), and Jarrion Lawson (2016).In 2011, Makusha was named the men's winner of The Bowerman which is awarded to the top collegiate track & field athlete of the year.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Santiel Kirumba agawa taulo za Kike, Mashuka na sukari zahanati ya Bulige katika Maadhimisho ya Wanawake Duniani

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Santiel Kirumba ameongoza wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani huku akigawa taulo za kike na madaftari kwa watoto wanaotoka katika mazingira magumu, kugawa sabuni na sukari kwa wanawake wajane...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Mariki atoa mashuka 100 katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi

    Mbunge Martha Mariki Atoa Mashuka 100 Katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Mariki kupitia Chama cha Mapinduzi [CCM] Mkoa wa Katavi ametoa Shuka 100 kwaajili ya kuwasidia wagojwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi na Vituo vya afya...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Norah Mzeru Akabidhi Mashuka Yaliyotoka kwa Rais Samia Hospitali ya Gairo na Mafiga Morogoro

    MBUNGE NORAH MZERU AKABIDHI MASHUKA YALIYOTOKA KWA RAIS SAMIA HOSPITALI YA GAIRO NA MAFIGA MKOANI MOROGORO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Mhe. Norah Waziri Mzeru tarehe 17 Februari, 2024 baada ya Bunge kuhitimishwa amefika Hospitali ya Wilaya ya Gairo na Mafiga zilizopo Mkoa wa...
  4. H

    Ukitaka kuwanyang'anya silaha wamasai basi ubadilishe kabisa utamaduni wao hata nguo wasivae nguo zao zinazopepea

    Twendeni kwenye mada baada ya Salam. Yaani mmasai atembee na nguo yake ile inayoopepea pepea bila kuwa na rungu ,sime au fimbo ni ngumu sana. Yaani hapo unachotakiwa kufanya ni overall nzima ya utamaduni wake yaani kuanzia sasa waache kuvaa mashuka na waanze kuvaa majeans na macadet na waanze...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Mary Masanja Agawa Magodoro na Mashuka Shule ya Msingi Mitindo

    MBUNGE MARY MASANJA AGAWA MAGODORO NA MASHUKA SHULE YA MSINGI MITINDO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mary Masanja ameungana na viongozi wa Jumuiya ya UWT Misungwi katika zoezi la Ugawaji wa Magodoro na Mashuka kwa Wanafunzi wenye Mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Mitindo...
  6. K

    Nahitaji mashuka meupe

    Habari za humu? Nahitaji mashuka meupe ya bei ya kiraia kabisa ya mtumba au dukani Shuka za vitanda vya 5*6 Napatikana Ubungo, Makuburi
  7. M

    Msaada: Biashara ya Mashuka toka Uganda

    Habari za Mwaka mpya wana jamii. Kuna haya mashuka na blanket za kutoka Uganda. Nataka na mimi nifanye hii biashara. Ila nitafurahi kama nitapata muongozo na namna ya kuyapata toka Uganda. Kama kuna mtu ana uzoefu au connection naomba anishirikishe. Asante sana.
  8. Yofav

    Mahitaji ya Mapazia, Bomba zake na Full installation pita hapa

    Habari wakuu, Ikiwa una nyumba yako na unajiuliza ni wapi utapata mapazia au Mabomba ya mapazia pamoja na installation (ufundi) basi leo umepata suluhu kwani sisi tunaweza kumaliza tatizo lako hilo kwa gharama nafuu kabisa. Mapazia yapo ila sitoyapost katika uzi huu bali unaweza kujionea...
  9. BARD AI

    Wagonjwa watakiwa kufua mashuka ya hospitali

    Ukosefu wa maji katika Kijiji cha Chihangu kilichopo Wilaya ya Newala, Mkoa wa Mtwara umesababisha wagonjwa wanaotibiwa katika Kituo cha Afya Chihangu kutakiwa kufua nguo za hospitali kabla ya kuruhusiwa. Mkazi wa Kijiji cha Kihangu B, Musa Kajana amesema wagonjwa wanapomaliza kupata matibabu...
  10. M

    Pata Mashuka Mtumba Grade AAA kwa bei poa

    Karibuni kwenye uzi wangu. Nimeanzisha biashara ya mashuka mtumba grade AAA. Material ni Cotton. Size Mbali Mbali. Kwa Dar delivery itafanyika. Na mikoani vilevile utatumiwa kwa usafiri unaopendelea. Kwa sasa ofisi ni nyumbani. Namba za mawasiliano ni 0715066185 au 0753066185
  11. Logikos

    Elimu High School Bure; Je, tunawapa watu mashuka wakati wa joto na kuwanyima wakati wa Baridi?

    Nimeona wamesema Elimu High school itakuwa bure, ni vema na Haki, Lakini hii kuwasaidia watu elfu 70 ambazo wazazi wanaweza kujichanga na kuomba omba wakapata na kule ambapo wanadaiwa mamilioni ya Pesa na kukosa hata mikopo (Kwenye Vyuo) Hawapewi kweli kuna tija? Kwa kila mzazi kutoa elfu...
  12. M

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya Mashuka kutoka Uganda

    Habari wanabodi, Nimekuwa nikisikia biashara ya mashuka kutoka nchi jirani ya Uganda. Kuna mwenye kujua upatikanaji wake, yaani duka, mtaa, bei n.k?
  13. GENTAMYCINE

    Kuna Klabu ya Tanzania Bara imerejea leo imeacha Zanzibar 'Kashfa' ya Wachezaji kuchafua Maliwato, Kuiba Mito, Mashuka na Sabuni zao

    Na ole Wenu Watangazaji wa Vipindi vya Michezo vya Redio nchini Tanzania Kesho Jumatano tarehe 12 January, 2022 ( Mapinduzi Day ) misiwasikie mkiizugumzia hii kwani imeshaenea na Kusambaa mno huko Isles ( Zanzibar ) Na yawezekana Wachezaji wake wengi ( hiyo Klabu ambayo GENTAMYCINE bado...
  14. Roving Journalist

    EWURA yatoa Msaada wa wa Mashuka 431 yenye thamani Mil 5 Vituo vya Afya

    MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA), imetoa msaada wa mashuka 431 kwa Vituo vinne vya Afya katika Jiji la Dodoma, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma. EWURA imeona itoe msaada huo kama kurudisha mchango wake kwa jamii kwenye sekta ya afya. “Mashuka...
Back
Top Bottom