Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
ndugu zangu hivi mnajua biashara ya nguo inalipa sana?
Ila siyo kirshisi kama usipokuwa mjanja, mjanja kivipi?
Nguo za wanawake na watoto zinatoka sana, zingatia location nzuri ya biashara yako, yaani pawe na muitiko mzuri wa watu.
Point nguo kali ambazo ni rahisi mtu kuvutika kwa haraka, biashara hii inafaida karibia nusu ya bei uliyonunulia, yaani ukiinunua kwa elfu 10, kuna uwezekano wa kuiuza kati ya elfu 18,000 hadi elfu 20,000.
Jambo la mwisho na la muhimu, kama wewe ni mtu wa ibada basi hakikisha unaikabidhi biashara yako kwa Mungu kila iitwapo leo, kama wewe unaamini waganga basi vivyo hivyo hakikisha unaloga kweli. Karibuni kwa mawazo.
Ila siyo kirshisi kama usipokuwa mjanja, mjanja kivipi?
Nguo za wanawake na watoto zinatoka sana, zingatia location nzuri ya biashara yako, yaani pawe na muitiko mzuri wa watu.
Point nguo kali ambazo ni rahisi mtu kuvutika kwa haraka, biashara hii inafaida karibia nusu ya bei uliyonunulia, yaani ukiinunua kwa elfu 10, kuna uwezekano wa kuiuza kati ya elfu 18,000 hadi elfu 20,000.
Jambo la mwisho na la muhimu, kama wewe ni mtu wa ibada basi hakikisha unaikabidhi biashara yako kwa Mungu kila iitwapo leo, kama wewe unaamini waganga basi vivyo hivyo hakikisha unaloga kweli. Karibuni kwa mawazo.