Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Kunaa manzi yangu amenilazimisha sana nijiunge huko ila wapi naona kuna malaika ananiambia kabisa ukiingia tiktok mimi na wewe basi
Tiktok haina shida na katika mtandao wenye solutions za mambo tofauti tofauti tena kwa videos ni tiktok

Hadi sasa tofauti na JF utanikuta tiktok
 
Sasa mbona mama yako na dada zako waliolewa??
 
Tiktok haina shida na katika mtandao wenye solutions za mambo tofauti tofauti tena kwa videos ni tiktok

Hadi sasa tofauti na JF utanikuta tiktok
Hivi Brooh, kwani tiktok ina shida gani? Mie naona watumiaji ndo tatizo.
Kwangu binafsi. Tiktok naona km YouTube tyuuh
 
Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia

1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili

2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat

3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai na akikuambia amekufa ukathibitishe Kabisa kwenye kaburi lake Kama Ni kweri

4.Usioe kwenye ukoo Ambao Huwezi kufaidika Chochote au ukoo utakao kuwa msaada kwao 100% utazitafuta hatua kwa Jasho na maumivu Mwanamke hatowaza ndoa Kipambaule kitakua Ni kwao

5.Usioe Mwanamke mweupe au mwenye wowow kubwa 99.9% Hua Hawapo sawa kichwani Kiufupi Ni vilaza


6.Usioe Mwanamke anaecheza upatu na vikoba

7.Usioe Mwanamke anaetaka kujua Kipato CHAKO/akiba yako yote unaitumiaje.

8.Usioe Mwanamke anaeshika dawa za kienyeji

9.Usioe Mwanamke asietaka kupitwa na kitu na anaependa mashindano

10.Usioe Mwanamke anaevaa miwani expt awe na matatizo ya macho

11.Usioe mwanamke mwenye nyimbo za singeli na amapiano kwenye simu yake.
Unataka uoe malaika?
 
Hiyo point namba 4 imefanya ndoa nyingi sana kuwa taabani.
Uliza wanaume ambao wameoa wanawake ambao kwao kuna nafuu usikie balaa.

Mwanamke ili awe anatawalika,lazima umzidi vitu kadhaa,sio kwa bahati mbaya au kidogo bali ni kwa tofauti kubwa.
Umri,elimu,uchumi.

Mali unayoipata kutoka kwao inatakiaa iwe yeye tu,sio unapigia mahesabu na ng'ombe zao,zitakutokea puani,kaza kiuno tafuta vitu vyako,kuna ifahari fulani kwenda kwao ukiwa msemaji,japo sio lazima uwe wa mwisho ila una sauti.
 
Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia

1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili

2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat

3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai na akikuambia amekufa ukathibitishe Kabisa kwenye kaburi lake Kama Ni kweri

4.Usioe kwenye ukoo Ambao Huwezi kufaidika Chochote au ukoo utakao kuwa msaada kwao 100% utazitafuta hatua kwa Jasho na maumivu Mwanamke hatowaza ndoa Kipambaule kitakua Ni kwao

5.Usioe Mwanamke mweupe au mwenye wowow kubwa 99.9% Hua Hawapo sawa kichwani Kiufupi Ni vilaza


6.Usioe Mwanamke anaecheza upatu na vikoba

7.Usioe Mwanamke anaetaka kujua Kipato CHAKO/akiba yako yote unaitumiaje.

8.Usioe Mwanamke anaeshika dawa za kienyeji

9.Usioe Mwanamke asietaka kupitwa na kitu na anaependa mashindano

10.Usioe Mwanamke anaevaa miwani expt awe na matatizo ya macho

11.Usioe mwanamke mwenye nyimbo za singeli na amapiano kwenye simu yake.
Namba 4 na namba 7 zinanitesa sana ila nimeshamsoma vizuri hanisumbui. Piga block kila kona hadi aelewe somo
 
Unataka uoe malaika?
Hapana simaanishi malaika naamanisha Mwanamke mwenye mapungufu yanayoweza kuvumilika na kurekebishika.
Wanawake wenye tabia/lifestyle tajwa hapo juu Ni Ngumu kuvumilika na kurekebishika
 
Hiyo point namba 4 imefanya ndoa nyingi sana kuwa taabani.
Uliza wanaume ambao wameoa wanawake ambao kwao kuna nafuu usikie balaa.

Mwanamke ili awe anatawalika,lazima umzidi vitu kadhaa,sio kwa bahati mbaya au kidogo bali ni kwa tofauti kubwa.
Umri,elimu,uchumi.

Mali unayoipata kutoka kwao inatakiaa iwe yeye tu,sio unapigia mahesabu na ng'ombe zao,zitakutokea puani,kaza kiuno tafuta vitu vyako,kuna ifahari fulani kwenda kwao ukiwa msemaji,japo sio lazima uwe wa mwisho ila una sauti.
Simaanishi vya nyumbani kwao viwe msaada Kwako naamanisha kwao kukiwa na unafuu itakupunguzia mzigo Kwako wa kuwa tegemezi wa moja kwa moja.

Pia kuhusu kukusaidia simaanishi Pesa/mali naamanisha connection
 
Hivi Brooh, kwani tiktok ina shida gani? Mie naona watumiaji ndo tatizo.
Kwangu binafsi. Tiktok naona km YouTube tyuuh

Braza ni kama ulivyosema tiktok haina shida bali watumiaji
 
Back
Top Bottom