Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Hahhaha maumivu ya mapenzi tu , madogo wanateswa sana
Madogo wanafanya generalisations za ajabu kwamba ukiona hivi basi umeshaona vile watu wanaoa mpaka ma-bar mengi wenye mizinga mikubwa ya nyuki kule nyuma wamepakia masega ya asali
 
Wavulana wa sasa ni dhaifu sana kwa wanawake , nyie wenye hii misimamo unakuta mmepigwa matukio na vinuka mikojo huko, hili mnalotoa humu ni povu tu , karibu bia upunguze stress kijana.
Kuna wavulana na Kuna Wanaume kwenye Maisha sikumbuk Kama nishawahi Kuwa mvulana na sio miongoni mwa uliowataja hapo juu
 
Madogo wanafanya generalisations za ajabu kwamba ukiona hivi basi umeshaona vile watu wanaoa mpaka ma-bar mengi wenye mizinga mikubwa ya nyuki kule nyuma wamepakia masega ya asali
Kabisa mkuu
 

Screenshot_20250530_022214.jpg
 
masharti yangetumika mpaka kwenye mahakamani basi lisu angetoka
 
USITUPANGIE, mwanamke awe na kalio kubwa, issue za tabia na mambo madogo madogo kama hayo utawapa kazi wachungaji na masheikh
 
Kuna
Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia

1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili

2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat

3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai

4.Usioe kwenye ukoo Ambao Huwezi kufaidika Chochote au ukoo utakao kuwa msaada kwao 100% utazitafuta hatua kwa Jasho na maumivu Mwanamke hatowaza ndoa Kipambaule kitakua Ni kwao

5.Usioe Mwanamke mweupe au mwenye wowow kubwa 99.9%


6.Usioe Mwanamke anaecheza upatu na vikoba

7.Usioe Mwanamke anaetaka kujua Kipato CHAKO/akiba yako yote unaitumiaje.

8.Usioe Mwanamke anaeshika dawa za kienyeji

9.Usioe Mwanamke asietaka kupitwa na kitu na anaependa mashindano

10.Usioe Mwanamke anaevaa miwani expt awe na matatizo ya macho

11.Usioe mwanamke mwenye nyimbo za singeli na amapiano kwenye simu yake.
Binti kil mara mara yeye ni kuniita maneno ya mahaba kila mara ila kuna siku aliniomba hela ya simu nikamkazia baada ya hapo mawasiliano yamekuwa unatafuta kwa tochi! Na mwingine alitaka nimpe mahari ya 1.5M wakati ni mshangazi wa miaka 28 nimesema No
 
Back
Top Bottom