😂😂😂USITUPANGIE, mwanamke awe na kalio kubwa, issue za tabia na mambo madogo madogo kama hayo utawapa kazi wachungaji na masheikh
Na unaonaje vizaz vijavyoTiktok hapana yaan nawavumilia sana watu wanaotumia tiktok na mara nyingi hua nawaonea huruma sana, usiniulize kwanini
Hapo itategemea Kama Unaweza kujikaza usichepuke.12. Usioe mpare.
Ukiacha na mwanamke uliezaa nae alafu umwambie akutumie picha ya mtoto ndo anakutumia hii
Yataje weweMbona kuna masharti mengine hujayataja mzee
😂😂😂 Ni utaperi mtu sio bikra,hajui kupika,Hana Cha kukushauri alafu mahari million 3 kweli kataa ndoaMambo yasiwe mengi
#KataaNdoa2028
Acha tu iwe hivyo hivyo ila tiktok hapanaNa unaonaje vizaz vijavyo
Educating rate inaongezeka na Ignorance rate inaongezeka Zaid iNa unaonaje vizaz vijavyo
Oa na uzidishe mahari Kabisa utakayokuwa umepangiwaVipi wa jamiiforums,tuoe??
AiseeEducating rate inaongezeka na Ignorance rate inaongezeka Zaid i
Nusratt picha yako inatumiwa vibaya huku
Hapana sjawahi ogopa ila standards kwa Mwanaume Ni MuhimuUnaogopa wanawake kama ukoma , acha hizo bwashee.
Ni kweli ila sio kwa woteHayanaga muongozo
Mwanamke alie mtandaoni, competitors wanakua wengi.Shida ya tiktok ni ipi?
Chukueni usia vijana huo.🤣🤣🤣🤣Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia
1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili
2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat
3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai na akikuambia amekufa ukathibitishe Kabisa kwenye kaburi lake Kama Ni kweri
4.Usioe kwenye ukoo Ambao Huwezi kufaidika Chochote au ukoo utakao kuwa msaada kwao 100% utazitafuta hatua kwa Jasho na maumivu Mwanamke hatowaza ndoa Kipambaule kitakua Ni kwao
5.Usioe Mwanamke mweupe au mwenye wowow kubwa 99.9% Hua Hawapo sawa kichwani Kiufupi Ni vilaza
6.Usioe Mwanamke anaecheza upatu na vikoba
7.Usioe Mwanamke anaetaka kujua Kipato CHAKO/akiba yako yote unaitumiaje.
8.Usioe Mwanamke anaeshika dawa za kienyeji
9.Usioe Mwanamke asietaka kupitwa na kitu na anaependa mashindano
10.Usioe Mwanamke anaevaa miwani expt awe na matatizo ya macho
11.Usioe mwanamke mwenye nyimbo za singeli na amapiano kwenye simu yake.