Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Ukitaka kuoa zingatia yafuatayo

Duniani Hutaambiwa kila kitu ila Ishi Humu itakusaidia

1.Usioe Mwanamke aliewahi Kuwa na Mahusiano na Wanaume zaidi ya wawili

2.Usioe Mwanamke anaetumia Tiktok au Snapchat

3.Usioe Mwanamke Single mother ambae baba wa mtoto wake yuko hai na akikuambia amekufa ukathibitishe Kabisa kwenye kaburi lake Kama Ni kweri

4.Usioe kwenye ukoo Ambao Huwezi kufaidika Chochote au ukoo utakao kuwa msaada kwao 100% utazitafuta hatua kwa Jasho na maumivu Mwanamke hatowaza ndoa Kipambaule kitakua Ni kwao

5.Usioe Mwanamke mweupe au mwenye wowow kubwa 99.9% Hua Hawapo sawa kichwani Kiufupi Ni vilaza


6.Usioe Mwanamke anaecheza upatu na vikoba

7.Usioe Mwanamke anaetaka kujua Kipato CHAKO/akiba yako yote unaitumiaje.

8.Usioe Mwanamke anaeshika dawa za kienyeji

9.Usioe Mwanamke asietaka kupitwa na kitu na anaependa mashindano

10.Usioe Mwanamke anaevaa miwani expt awe na matatizo ya macho

11.Usioe mwanamke mwenye nyimbo za singeli na amapiano kwenye simu yake.
Chukueni usia vijana huo.🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom