Hapana inabidi kuchagua moja ili upate nafuu ya roho lakini pia unaweza kumuandikia barua ya kumkumbusha kitu alichokufanyia na kunjulisha kwamba hujamsamehe na utadai pesa yako hata maiti yakekaka mshana jr mi kuna mjuaji mmoja, tena gabachori, kaniingiza King, yaani mtoto wa mjini nimetendwa na wakuja, kumsamehe nimeshindwa na nguvu ya kulipiza kisasi sina, ktk hali kama hiyo nafanyaje?
Kusamehe ni kazi ya binadamu lakini kisasi ni kazi ya Mungu.View attachment 392049
Msamaha baada ya kifungo! Je jamii itakupokeaje? Je wewe binafsi huna makunyanzi ya chuki na kulipa kisasi rohoni?
Kuna baadhi walifungwa lakini wakatoka kwa msamaha lakini walikuja kufanya mambo ya kutisha
Na utakapokuwa unaitoa roho yake uitoe kwa ukatili wa hali ya juu kabisa wakati muhusika akiwa hai huku anashuhudia kwa macho yakeDuh.......hapo sasa si itafikia kiwango cha kutoana roho.
😵😵Na utakapokuwa unaitoa roho yake uitoe kwa ukatili wa hali ya juu kabisa wakati muhusika akiwa hai huku anashuhudia kwa macho yake
unaposamehe inabidi usahau vinginevyo unakua hujasamehe. Kinachofanya tushindwe kusahau ni pale mtu anapokukosea mwingine atakuomba msamaha lakini baada ya muda anarudia lilelile halafu anakuomba tena msamaha. Hapo kisamehe mtihaniMie kuna mtu nashindwa kumsamehe na nashindwa kusahau nikifika kwenye kulipa kisasi dini inakataza nimebaki njiapanda.Hili jambo ni kweli na usiombe likakukuta.
🙂Visasi vipo sana kinachotunusuru ni unafique wa kujifanya tumesamehe kumbe tunalo rohoni ndio maana wengi wanakufa wamepinda utafikiri wa ugonjwa wa ngiri