Umenikumbusha jambo hapa, kuna jamaa last year nilimkopesha bidhaa akanizungusha pesa hakunilipa nikamsamehe deni ila kwa masharti simuuzii bidhaa hata akija na cash. Kupanga ni kuchagua.Umena vyema mkuu binafsi siamini katika visasi visasi vinaumiza sana vitakufanya huishi kwa hofu coz utakuwa na muendelezo the best thing in kugive up and forgive and walk away
complicated and clear.Poa ukimshindwa kwenye mwanga giza lipo ukimkosa mchana usiku utampata
Yule jomba inafahamika kabisa pesa alokuwa akimiliki sasa jeuri yake ikawa ni kuua anayeona anamletea kiwingu bila kumhofia yeyote. Kilichowakera kabisa Wananzengo ni hali ya kuwa anatembea na wake za watu halafu anamfungulia biashara yule mwanamke ya kueleweka tu, mwisho wa siku mke ndani anaanza kujikuta na sauti kwa mumewe. Ukifuatilia unakuja kujua Erasto ndiye anaemtia jeuri.Aisee hebu tupe kidogo
Jr![]()
To forgive is not weakness is strong enough to let it goNakuelewa vizuri sana miss chagga , lakini nimejifunza kuachilia vinginevyo unweza kupata maradhi yasiyotibika na kukuletea matatizo makubwa bila sababu.
Ushenzi ushenzini...... Kuna watu wakiamua wameamua... Hatuna haja na pesa yako.....Yule jomba inafahamika kabisa pesa alokuwa akimiliki sasa jeuri yake ikawa ni kuua anayeona anamletea kiwingu bila kumhofia yeyote. Kilichowakera kabisa Wananzengo ni hali ya kuwa anatembea na wake za watu halafu anamfungulia biashara yule mwanamke ya kueleweka tu, mwisho wa siku mke ndani anaanza kujikuta na sauti kwa mumewe. Ukifuatilia unakuja kujua Erasto ndiye anaemtia jeuri.
Siku anatoka Mererani kafika KIA akaona kuna Baja za kutosha zinakuja nyuma zikamzunguka akasimama, bado kiburi ya pesa anayo na kwenye dashboard alikuwa na mil ka 400 hivi jamaa yangu ananisimulia. Akawauliza wale vijana, wamepewa kiasi gani ili waje kumdhuru ili yeye awape mara tatu ya kias walichoahidiwa. Jomba mmoja akamwambia, sisi hatuna haja na pesa yako, tunataka hicho kidude kinachokupa jeuri ya kufanyia ushenzi wanaume wenzio. Hakuongea tena, akachomoa bomba wakammiminia za kutosha, wajuba wakakwea Baja zao wachimba. Haikuguswa pesa yake hata mia naambiwa.





Kuna jamaa mmoja tulifanya biashara nae akanizurumu laki mbili nikamtafuta in dark side nikampata ikabak mimi ni press button nimalize mchezo nikamsamehe, sasa yule jamaa akaanza kutangaza kwamba mi ni mpole sana, hili jambo nimeshindwa kabisa kujisamehe.Kikubwa na kuwa na amani moyoni na kutohukumiwa na nafsi
Kuna jamaa mmoja tulifanya biashara nae akanizurumu laki mbili nikamtafuta in dark side nikampata ikabak mimi ni press button nimalize mchezo nikamsamehe, sasa yule jamaa akaanza kutangaza kwamba mi ni mpole sana, hili jambo nimeshindwa kabisa kujisamehe.


a bit too late.. Hapo inabidi ujiadhibu mwenyewe 
We kwenye dunia hii unapoteza muda tu. Dunia haitaki watu kama weweMimi huwa nasamehe na kusahau hata kama ninayemsamehe anazidi kunitendea mabaya, katika mafundisho ya dini tumefundishwa Usilipize ubaya kwa ubaya bali baya kwa jema japo kuna watu ni wagumu kusamehe na kusahau.
We kwenye dunia hii unapoteza muda tu. Dunia haitaki watu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app




Na hilo ndio tatizo ninge revenge asingenidhiaki mana ningempa anachostahilia bit too late.. Hapo inabidi ujiadhibu mwenyewe
Jr![]()
Dah...mwaka 31 huu...nasubiri aingie kwenye 18..nifanye yangu...na sijachoka kusubiri
Sent using Beretta ARX 160

kweli wewe Rohombaya