Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

True....The revenge!!!

Utotoni huko shuleni niliitumia sana hii KANUNI....Usiishi na mkuki moyoni....

Salute Mshana Jr
Kama ilivyo kwa msamaha ile nafuu unayoipata kwenye kusamehe basi ndivyo ilivyo hata kwenye kisasi! Kisasi humpa mtu faraja na amani ya moyo huridhika kuona amefanya jambo baya kwa mtu mbaya
 
Wengi usio na ubaya nao ni kwa sababu hujawahi kuwa na mazuri nao.
Ukitembea mwangalie anayepita mbele yako huna baya wala zuri naye
Mkumbushe Mwanao Tumefanyiwa Mazuri Na Watu Wanaoitwa Wabaya, Na Tumefanyiwa Mabaya Na Watu Tunaowaita wazuri.... Mwambie Aishi Na Kila Mtu Kwa Akili
 
Msamaha ni "process" unahitaji Neema ya kusamehe.

Binafsi kama mwanadamu ukweli ukinizingua na nikishindwa kupata hiyo Neema. Haijalishi ni muda gani umepita "You'll pay for it".

Nahakikisha nimekaa sawa kiakili na kimwili. Si kitu kizuri chakujivunia pia Revenge.
 
Ikija Kwenye suala la kusamehe au kulipiza kisasi nadhani kila mtu hufanya kile ambacho kitairidhisha nafsi Yake.

Ila Ni vema Sana kusamehe kuliko kulipiza kisasi.
 
Msamaha mgumu zaidi ni kwa usaliti. Usaliti wa aina yoyote una kumbukumbu za kuumiza na zisizosahaulika
 
Mwenyezimungu anasema "Kisasi ni haki, na kwenye Kisasi ndio kuna maisha yenu"
Bila Kisasi dunia isingekalika, hakuna asiyelipa Kisasi Ila tunatofautiana njia za kukilipa....mfano mtu anaua ndugu yako, kuna wengine wanalipa Kisasi Kwa kumuua huyo muuaji, kuna wengine wanaiachia serikali iwalipie Kisasi Kwa kumpeleka mahakamani, wengine humuachia Mungu awalipie Kisasi, wengine huiachia karma iwalipie......vyote ni visasi.

Ukweli ni kwamba Kisasi huleta kuheshimiana, bila Kisasi dunia ingekuwa sehemu mbaya ya kuishi....Kisasi huleta kiasi wakati wa kufanyiana mabaya....bila Kisasi binadamu wangekuwa waovu kuliko hivi Leo.

Mimi binafsi ukinionea huwa navizia a right time to hit back🤣🤣
 
Mim binafsi naamin kusamehe na kumweka huyo mtu mbal na wwe ,ili ata kama sio mtu wakusamehewa usije kuingia kwenye mtego wake tena.
 
Mwenyezimungu anasema "Kisasi ni haki, na kwenye Kisasi ndio kuna maisha yenu"
Bila Kisasi dunia isingekalika, hakuna asiyelipa Kisasi Ila tunatofautiana njia za kukilipa....mfano mtu anaua ndugu yako, kuna wengine wanalipa Kisasi Kwa kumuua huyo muuaji, kuna wengine wanaiachia serikali iwalipie Kisasi Kwa kumpeleka mahakamani, wengine humuachia Mungu awalipie Kisasi, wengine huiachia karma iwalipie......vyote ni visasi.

Ukweli ni kwamba Kisasi huleta kuheshimiana, bila Kisasi dunia ingekuwa sehemu mbaya ya kuishi....Kisasi huleta kiasi wakati wa kufanyiana mabaya....bila Kisasi binadamu wangekuwa waovu kuliko hivi Leo.

Mimi binafsi ukinionea huwa navizia a right time to hit back[emoji1787][emoji1787]
Mimi binafsi ukinionea huwa navizia a right time to hit back[emoji848][emoji3064][emoji1544][emoji1550]
 
Mwenyezimungu anasema "Kisasi ni haki, na kwenye Kisasi ndio kuna maisha yenu"
Bila Kisasi dunia isingekalika, hakuna asiyelipa Kisasi Ila tunatofautiana njia za kukilipa....mfano mtu anaua ndugu yako, kuna wengine wanalipa Kisasi Kwa kumuua huyo muuaji, kuna wengine wanaiachia serikali iwalipie Kisasi Kwa kumpeleka mahakamani, wengine humuachia Mungu awalipie Kisasi, wengine huiachia karma iwalipie......vyote ni visasi.

Ukweli ni kwamba Kisasi huleta kuheshimiana, bila Kisasi dunia ingekuwa sehemu mbaya ya kuishi....Kisasi huleta kiasi wakati wa kufanyiana mabaya....bila Kisasi binadamu wangekuwa waovu kuliko hivi Leo.

Mimi binafsi ukinionea huwa navizia a right time to hit back[emoji1787][emoji1787]
That's right

Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyezimungu anasema "Kisasi ni haki, na kwenye Kisasi ndio kuna maisha yenu"
Bila Kisasi dunia isingekalika, hakuna asiyelipa Kisasi Ila tunatofautiana njia za kukilipa....mfano mtu anaua ndugu yako, kuna wengine wanalipa Kisasi Kwa kumuua huyo muuaji, kuna wengine wanaiachia serikali iwalipie Kisasi Kwa kumpeleka mahakamani, wengine humuachia Mungu awalipie Kisasi, wengine huiachia karma iwalipie......vyote ni visasi.

Ukweli ni kwamba Kisasi huleta kuheshimiana, bila Kisasi dunia ingekuwa sehemu mbaya ya kuishi....Kisasi huleta kiasi wakati wa kufanyiana mabaya....bila Kisasi binadamu wangekuwa waovu kuliko hivi Leo.

Mimi binafsi ukinionea huwa navizia a right time to hit back🤣🤣
Kweli kabisa penye kisasi ndipo uhai wetu ulipo
Kisasi hutunza heshima na hadhi
Sasa hapo "a Right time to hit back' ndipo sijajui when do a Right time....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom