Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Mi kila nikitaka kulala usiku namwambia M/Mungu nimewasamehe wote walionikosea, na niliwakisea namuomba yeye Mungu awalainishe nyoyo zao wanisamehe, kwa kweli najikutaga nina amani sana moyoni kila kukicha
Msamaha huleta amani rohoni
 
Unaweza lipa kisasi alafu ndo ukafeel miserable kuliko mwanzoni,
Mimi naamini kama mtu kakukosea alafu ukaamua usimlipe hata kama hujamsàmehe hii dunia itamlipa tena mbele ya macho yako mana malipo huwa ni hapa hapa duniani!
Usilipe kisasi as huo pia ni uovu unapanda wanao au wajukuu watavuna tu!
 
Unaweza lipa kisasi alafu ndo ukafeel miserable kuliko mwanzoni,
Mimi naamini kama mtu kakukosea alafu ukaamua usimlipe hata kama hujamsàmehe hii dunia itamlipa tena mbele ya macho yako mana malipo huwa ni hapa hapa duniani!
Usilipe kisasi as huo pia ni uovu unapanda wanao au wajukuu watavuna tu!
Ndio maana nikasema kama ukishindwa kusamehe basi lipa kisasi
 
Kuna amri kumi na moja za shetani,mmoja ya amri inasema.
Usiwatendee watu mabaya hata kama wanakuudhi, lakini mtu akiendelea kukuumiza,mlipe kisasi mara 10 yake.
Dah hebu naziomba hizo nyingine
 
Dah hebu naziomba hizo nyingine
Ukizigoogle zipo online.
Google.Satanic Bible,

Screenshot_20211020_181123.jpg
 
Umena vyema mkuu binafsi siamini katika visasi visasi vinaumiza sana vitakufanya huishi kwa hofu coz utakuwa na muendelezo the best thing in kugive up and forgive and walk away
ila ukishindwa kusamehe lipa kisasi
 
Mzee nisadie mfundishe adabu hyu mtu ata ugonjwa wa week moja to sipendi elimination method tumis ata marurue tu week atulie jina anaitwa mrisho said kanizulumu pesa zangu
 
Mimi huwa nasamehe na kusahau hata kama ninayemsamehe anazidi kunitendea mabaya, katika mafundisho ya dini tumefundishwa Usilipize ubaya kwa ubaya bali baya kwa jema japo kuna watu ni wagumu kusamehe na kusahau.
Hujakosewa siku ukikosewa Tena kosa linalo acha Alama utakuja kutoa ushuhuda humu
 
 
Visasi, misamaha na malipizi vitabaki kuwa uamuzi binafsi kutokana na imani yako hofu yako na huruma yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom