King Victor
JF-Expert Member
- Feb 19, 2016
- 463
- 294
Kisasi daima kina kuwa kibaya... Na kinaweza leta majuto ya daima... Hivyo tunapaswa kutambua MSAMAHA ni njia bora ya mafanikio yako.
Love and peace
Love and peace
Nakubali, uanze kupewa kiinua mgongo aiseePost ya zamani hii.. Siku hizi nimekuwa nyani mzee [emoji24][emoji24][emoji24]
Jr[emoji769]
Na huo ndiyo ukweli wenyewe mkuuNa tusiwalaumu wale wanaofurahia vifo vya 'greens', ni njia mojawapo ya kutuliza hasira nafsini mwao.
Kila mtu ashinde mechi zake!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hebu tupe kidogo
Jr[emoji769]
[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakubali, uanze kupewa kiinua mgongo aisee
Naenda kufukua makaburi yako yote, napitia moja moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine, jamaa aliwaambia kama mmepewa milion mia kuja kuniua, mi nawapa mia tatu milion muachane na mimi. Watu wakamla shaba wakatokomeaUshenzi ushenzini...... Kuna watu wakiamua wameamua... Hatuna haja na pesa yako..... [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Hahahaaaaa....... Mkuu, niweje sasa!?We kwenye dunia hii unapoteza muda tu. Dunia haitaki watu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijekula pesa ya watu sababu una cheo ukajipiga kifua hawana cha kukufanya.Kuna watu hawapindishi maneno
Jr[emoji769]
Hapana mkuu Mshana, nilipata mdau mmoja akaishia kula hela yangu tu, hivyo sikufanikiwa lakini sijakata tamaa.Vipi mrejesho... Ulitimiza azma yako?
Jr[emoji769]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji106]lakini ni kwa waamini na waaminioWarumi 12:19
Wapenzi,msijilipize kiasi,bali ipisheni ghadhabu ya Mungu;maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi;mimi nitalipa,anena Bwana.
Shukrani kaka Mshana, karibu inbox endapo utakuwa na wazo saidizi.Pole sana
Jr[emoji769]
Mbona Umesahau "Anaeye ua kwa Upanga atakufa kwa upanga "Unajua 7X70 ni ngapi? Atakayekukosea mara zote hizo kishakumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
![]()
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile , hii inahusika na kulipa kisasi.
Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye furaha ya kweli usiye na makunyanzi rohoni na usoni.
Mwenye msamaha ana nuru usoni , msamaha ni tiba, msamaha ni mafanikio msamaha ni amani na ni upendo.
Lakini je kama huamini katika msamaha? Kama unayemsamehe hasameheki? Na je kama ni mbabe mjuaji na dhulumati mkubwa?je kama anakuletea dharau kwa hali yoyote ile hata uwe msamehevu kiasi gani? Usiishi na maumivu! lipa au lipiza..!
Msamaha wako usikushushe msamaha wako usikufanye kiumbe dhaifu na mnyonge, utu wako ni muhimu heshima na dhima yako ni vitu vya kulinda na kuzingatia mno...ukishindwa kabisa kusamehe ukizidiwa na viwango vya uvumilivu wa kibinadamu usiumize roho yako andaa kisasi.
Kama ilivyo kwa msamaha ile nafuu unayoipata kwenye kusamehe basi ndivyo ilivyo hata kwenye kisasi! Kisasi humpa mtu faraja na amani ya moyo huridhika kuona amefanya jambo baya kwa mtu mbaya.
Tunaishi na wajuaji wengi kwenye jamii tunaishi na watu wanaojiona wao ni bora kuliko wengine wao ni zaidi kuliko wewe...wao ndio wanaijua pesa kuliko wewe. . . . usimpe nafasi mtu wa namna hii atambe...ni lazima umfundishe ajue kuwa maisha yana pande nyingi...kisha mfundishe kwa maumivu makubwa maumivu atakayodumu nayo mpaka kifo.
LAKINI maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua... Fanya kile kitakachokupa nafuu ya rohoni na afya ya akilini kwakuwa uamuzi ni wako na mwisho utabaki wewe kama wewe..
Visasi misamaha na malipizi vitabaki kuwa uamuzi binafsi kutokana na imani yako hofu yako na huruma yako.