Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,540
Kwa wasio wenyeji wa kanda ya ziwa.
Nimeona malalamiko mengi sana kina mama na kina dada wasio wenyeji wa mkoa wa Mara (na kanda ya ziwa ) wakilalamika sana kuhusu swala la kusahau kwao.
Inasemekana kuna UCHAWI mzito sana wanafanyiwa ili kusahau nyumbani kabisa.
Basi nawasogezeeni hili mlichukhlie kwa upana wake;
Mkiona ndugu yenu kaolewa KANDA YA ZIWA huku hasa maeneo ambayo hayaendelea, mjue kuna mizizi mikali sana inatumika kuwazima wasirudi ama wasikumbuke makwao tena
Nimeona malalamiko mengi sana kina mama na kina dada wasio wenyeji wa mkoa wa Mara (na kanda ya ziwa ) wakilalamika sana kuhusu swala la kusahau kwao.
Inasemekana kuna UCHAWI mzito sana wanafanyiwa ili kusahau nyumbani kabisa.
Basi nawasogezeeni hili mlichukhlie kwa upana wake;
Mkiona ndugu yenu kaolewa KANDA YA ZIWA huku hasa maeneo ambayo hayaendelea, mjue kuna mizizi mikali sana inatumika kuwazima wasirudi ama wasikumbuke makwao tena