Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,396
- 3,902
📌📌 RAIS SAMIA NI DADA YETU, WATU WA KANDA YA ZIWA - MWENEZI MAKONDA
"Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ni dada wa kanda ya Ziwa. Tuna wajibu wa kumuombea, kumlinda na kumtetea kwa sababu kaka yetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ndiye aliyetutambulisha na kutuambia 'huyu ndiye dada yangu'. Asingelikuwa Magufuli, Samia tusingelimfahamu."
Ndugu Paul Makonda, Viwanja vya Ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.
Mkutano wa Hadhara wa Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, 12 Novemba 2023.
#CCMImara
#kaziiendelee
"Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ni dada wa kanda ya Ziwa. Tuna wajibu wa kumuombea, kumlinda na kumtetea kwa sababu kaka yetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ndiye aliyetutambulisha na kutuambia 'huyu ndiye dada yangu'. Asingelikuwa Magufuli, Samia tusingelimfahamu."
Ndugu Paul Makonda, Viwanja vya Ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.
Mkutano wa Hadhara wa Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, 12 Novemba 2023.
#CCMImara
#kaziiendelee