I wish I could switch off JF"I wish I could be IGP"
Maalim seffu,lowassa watakosekana kweliMmebakia kuunda maneno.Awamu ya tatu ya majina inatangazwa kesho ukumbi wa Mwalimu Nyerere
Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?
Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani. utulivu hata wakati Mheshimiwa Rais akijaribu kuwa mcheshi kwa wageni wake makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana. Hii hali imenifikirisha sana. Au kwa kuwa leo ni Week-end watu wana uchovu wa jana?
Aende thentro akahojiwe.Hakuna njaa Tanzania. Wewe umejuaje kama ni njaa?
Siku Sizonje na timu yake wakiweza Ku access mawasiliano ya jf na kudukua Id zetu twafaaa. Itabid zile hostel mpya za Udsm ziitwe gereza la uchochezi maana atakaebakia bila kesi ya uchochezi humu ni Lizabon na Barbosa tuI wish I could switch off JF
Usihamishe magoli,hatupo kwenye Escrow hapa.Mwambie Mbowe kesho awahi,akichelewa atakamatwa,watu hawataniiTangazeni tu. Hata majina ya watu waliojichotea hela kwenye akaunti ya Tegeta-Escrow yalitangazwa tena bungeni!!
Gari limekata brake kwenye mteremko dereva kawambia abiria hakuna kuruka wala kupiga kelele naye Kaufumba machoKwa kweli hata mimi hilo limenishangaza sana leo. Ikulu ilikuwa imejaa UNYONGE, HOFU, MASHAKA, WASIWASI, UKIWA, SIMANZI, WOGA nk.
Nimewaona mawaziri wakiwa katika hali ya sintofahamu kubwa sana.
What is wrong?
Usihamishe magoli,hatupo kwenye Escrow hapa.Mwambie Mbowe kesho awahi,akichelewa atakamatwa,watu hawataniiTangazeni tu. Hata majina ya watu waliojichotea hela kwenye akaunti ya Tegeta-Escrow yalitangazwa tena bungeni!!
Unajuaje kama wewe sio madeluUnafiki mtupu, ni lini ulimuona Mwiguli anacheka cheka Ikulu au ndio mmeanza viji maneno vyenu?
Hapana sefu hayumo kwenye mtandao huo.Maalim seffu,lowassa watakosekana kweli
Unafiki mtupu, ni lini ulimuona Mwalivyoicheka cheka Ikulu au ndio mmeanza viji maneno vyenu?
Huo ukimya ni kwasababu walikuwa wanafuatilia kilichokuwa kinaendelea kwa makini, kwani wewe ulitaka wapige kelele.Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?
Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani. utulivu hata wakati Mheshimiwa Rais akijaribu kuwa mcheshi kwa wageni wake makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana. Hii hali imenifikirisha sana. Au kwa kuwa leo ni Week-end watu wana uchovu wa jana?