Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Sisi wa Afrika tutawaliwe tena tuu yaani unampinga Makonda kisa njia aliyo tumia hivi huoni tatizo la madawa ya kulevya pamoja na madhara yalivyo makubwa ni sawa na hiyo njia aliyo tumia???

Watu mnasema sema sheria hapo ulipo ukipewa sheria za nchi hata wewe utaona umevunja sheria acheni unafiki nendeni Muhimbili,Bagamoyo angalieni waathirika wa dawa za kulevya halafu njoo hapa ucomment upuuzi wako hata angetumia njia gani mnao ishi kwa hela za madawa mngekasilika hakuna mtanzania ambae huwa anaridhika

Nchi za watu wananyongwa karibi watu 3000 na watu wapo kimya nyie kuitwa tuu central kelele mitaa yote kama mmeguswa wapi sijui

Mimi ningekuwa rais Mateja wote ningenyonga na yeyote ambae angehisiwa kutumia madawa ya kulevya ningenyonga kwanini watu wakuhisi wewe tuu?

Madawa ya kulevya ni mabaya mabaya watu wanatelekeza watoto wao kisa mdawa ya kulevya watu mpo hapa mnacheka tuuuuu eti njia njia njia upuuzi gani huuu wa kutetea watumiaji wa madawa ya kulevya? Tena mtu anaitwa tuu alisaidie jeshi la polisi kelele kibaoooo je angeambiwa anatumia?

Wabongo sisi wanafikiiiiii wanafikiiiii wanafikiiiii sanaaaa

HIVI TRUMP ANAKUJA KUTUTAWALA LINI? akianza kutawala Afrika aanze na Tanzania Safari hii tusibebe vyuma vya Reli tulibebe Treni kabisa kutokea Zambia Hadi Dar Akili itatukaa sawaaa hatuta comment na kutetea Ujingaàaaa

Unakuja JF hapaaa kutetea na kumtukana Makonda na Rais mfyuuuuuuuuuuuuuuu Nenda Facebook post huo ujinga wako tuone nani atakuja kukutoa Rokapu! Ujinga tuuu umetawala na kuanza kushabikia Madawa ya kulevyaaaaaaaa.....Mtu mzima una watoto kabisa unatetea huo upuuzi wa madawaaa......au kwa vile ndugu yako hajaathirika?

Ningekuwa na ndugu yangu mfanya biashara au mtumiaji nisinge subiri atajwe ningempeleka mwenyewe central
kesho aense muhimbili kupasua watu kwa vile watu wanaachwa na ndugu zetu kufa.Na aanze pasua busha lako na usilalamike au kugoma. Hapo logic ya nyumbu kama yako itaa apply.
 
Uwiiii jamani naskia kulia aaaah[emoji24][emoji24][emoji24].. hasira zinanipanda hivi vote of no confidence c inaeza kupigwa. Wanaogopa nn jamani mbona nchi inaendeshwa kwa wazim lakini. Mara wanafunzi wafanye mtihani cjui wa usability mara cjui paspoti oooh Mara nn.. eeh Mungu embu tuondolee hichi kidudu kama unatusikia [emoji24][emoji1545]
 
Hii imesemwa lini mkuu au tuamini ule usemi wa kusinzia mjengoni
Ukiona kitu kabla ya kukimbilia kujibu tafuta basi kwanza kufahamu kama ni kweli kuliko kujidhalilisha hapa na comments zako.

Ss sisi tutaamini wewe ulilala siku nzima ya jana na hukujua ni nini kiliendelea ndo mana unakurupuka kujibu hivyo.
 
Hali ni tete na sijui Kama tutafika morali ya watu kufanya kaz na huyu ngosha imepotea ila nimefurahi kuona kumbe habar zote za mitandaon huwa anapewa au naye ana fake account kuona nin kinaendelea mtaani . kagusia ishu ya kwaya na watu kufuta magar ila sasa naona kasahau kuongea kuhusu utajiri wa kijana wake madereva huo ubillionare kapataje pataje
 
Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?

Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani. utulivu hata wakati Mheshimiwa Rais akijaribu kuwa mcheshi kwa wageni wake makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana. Hii hali imenifikirisha sana. Au kwa kuwa leo ni Week-end watu wana uchovu wa jana?
Wauza madawa ya kulevya mnajionyesha dhahiri mubashara.
 
Serious? Proof please kama awamu ya nne Mwenyezi Mungu alikuwa anasikia. Ukiangalia sana tunavuna tuliyopanda. Awamu ya nne ilitengeneza mambo yaliyohitaji marekebisho makubwa. Tusilie tunapovuna shamba tuliyopanda wenyewe

Tutakuwa vichaa kusubiri maembe kwenye mti wa mnazi kama anaposema Darasa
Yepi? Awamu ya nne haikuwa na character assassination kama hii. Imejenga miundombinu mingi, imepandisha mishahara kwa kiasi kikubwa, imetoa fursa za elimu nyingi, ilikuwa na ubinaadamu mwingi, imetoa ajira nyingi, imekuza biashara nyingi, imejenga mashule mengi, imeanzisha vyuo vingi, imevutia wawekezaji wengi, imesomesha watumishi wengi, wengi walipata fursa ya kujijengea vibanda vya kuishi, imekuza ushirikiano vizuri sana na mataifa ya nje kwa ajili ya maendeleo, imeibua fursa nyingi za kilimo, biashara na sanaa. List haina mwisho.

Mwaka na nusu huo, tuna barabara moja ya mwenge tu, utapata wapi jeuri ya kuisema awamu ya nne? Acheni kutafuta visingizio uchumi unakufa huo.
 
Weweee umeona jinsi mtu kama Sirro anasimamishwa mbele ya watu na kugombezwa vile utachekaje wakati pale kila mtu ni mtuhumiwa kasoro Makonda pekee?? Acha kabisa aisee bwana yule alikuwa hatanii jana.. Ungeweza kusikia Nape anaitwa na kupewa vibao hivihivi kwa kumponda Makonda kwenye vita!!

Jamaa anakwambia anataka hata wale wanaokuja pale central na magari yao nayo yakamatwe yawekwe lockup bado ucheke!! Acha kabisa ule uso jana ulikuwa zaidi ya uso wa mbuzi!!
 
Yepi? Awamu ya nne haikuwa na character assassination kama hii. Imejenga miundombinu mingi, imepandisha mishahara kwa kiasi kikubwa, imetoa fursa za elimu nyingi, ilikuwa na ubinaadamu mwingi, imetoa ajira nyingi, imekuza biashara nyingi, imejenga mashule mengi, imeanzisha vyuo vingi, imevutia wawekezaji wengi, imesomesha watumishi wengi, wengi walipata fursa ya kujijengea vibanda vya kuishi, imekuza ushirikiano vizuri sana na mataifa ya nje kwa ajili ya maendeleo, imeibua fursa nyingi za kilimo, biashara na sanaa. List haina mwisho.

Mwaka na nusu huo, tuna barabara moja ya mwenge tu, utapata wapi jeuri ya kuisema awamu ya nne? Acheni kutafuta visingizio uchumi unakufa huo.

Tembea uone
 
Umekurupukia wapi wewe? Kauli ile ilihusu waliohukumiwa kwa kukutwa na hatia nje ya nchi na sio hapa nchini,tena akasema ni kwa mujibu wa sheria za huko
Sasa wewe na huyo RC unatola nae wapi [emoji872]
hahaha unajibu hoja
 
Kila kitu moto afadhali ya Jana kuliko ya leo! Tuliomba wenyewe Kwa Mungu tumepata tusilie tumrudie yeye ndio suluhisho! No short cut na bado.......more three years to came hahaaaa
 
Back
Top Bottom