Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,857
Reaction score
50,584
Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?

Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani. utulivu hata wakati Mheshimiwa Rais akijaribu kuwa mcheshi kwa wageni wake makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana. Hii hali imenifikirisha sana. Au kwa kuwa leo ni Week-end watu wana uchovu wa jana?
 
NIMEMKUMBUKA askofu mmoja na walaka wa utabiri kipindi kile. Naona bado muendelezo wa ule utabiri UNAENDELEA HATUA KWA HATUA... msinisakame sikuchanganya mada. Ma GT watakuwa wamenipata
 
Muda wote alikuwa kama anatafakari nzito sana!

Jakaya 2008 akihutubia Bunge aligundua Waziri wake wa Fedha Mustapha Mkulo hayupo Ki Fikra Bungeni ( alisinzia )akamuuliza Swali la kustukiza katikati ya Hotuba, alipobabaika Mkulo, Jk akacheka Sanaa Kama kawaida yake ya ucheshi. Ingekuwa Awamu hii angekwenda na Maji pale pale
 
Back
Top Bottom