Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

"Mawaziri msiwe wanyonge"

Tafakari sana hiyo kauli.
Yaani kama ni mwalimu umeshaona darasa linaogopa hesabu na kama ni kocha unaona timu imeshakubali kushindwa kiakili kabla hata ya mechi, ndio ujiulize wameona nn mbele,kuna nani, ni nani adui, muuzaji, mtandao wa dawa una kina nani?
 
Kwa leo hata mm nimeona kuna watu walikuwa kama wanaumwa hasa hyo wa Elimu amekuwa kama pressure imemshuka vile
 
Kama hujui ninachoongelea sasa unapochangia nini kinachokuongoza kuchangia kwako?
Usijifanye mjanja sana. Ukada wa chama umeshakupofua siku nyingi sana. Sasa hivi wewe ni kipofu na ni kiziwi. Kila kitu unakiangalia kiitikadi. Sasa hapa ulikuwa unasema nini?
Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?

Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani...makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana...
 
Unafiki mtupu, ni lini ulimuona Mwiguli anacheka cheka Ikulu au ndio mmeanza viji maneno vyenu?

upload_2017-2-12_21-31-55.jpeg


upload_2017-2-12_21-32-24.jpeg


images


Hapa kumbe anafanya nini? Anakenua?

Ungetulia ungemwelewa mtoa mada. Hasemi kwa nini raisi hakuwa akitabasamu. Amesema watu waliokuwa pale walipooza visivyo kawaida hata Mheshimiwa raisi alipojitahidi kuweka vichekesho, kama unavyomfahamu ni mtu anayependa kuchekesha watu wafurahie.

Anashangaa kwamba si kawaida watu kupooza namna ile. Sasa wewe unaibuka na vurugu za maono kwamba Magufuli hachekagi!. Wapi na wapi? Tulia mwalimu, elewa hoja ndipo uingie kujadili.

Pengine alitegemea shangwe kam ahizi. Hapa ndipo uanzie kujadili.

images
 
Kila mutu anaisoma tarakimu awamu hii. Kinacho wanyong'onyeza watu ni kwamba anayewasomesha tarakimu ni mteule kipenzi cha mkulu. Utafikiri "wamepigwa ganzi"
 
Usijifanye mjanja sana. Sasa hapa ulikuwa unasema nini? Ukada wa chama umeshakupofua siku nyingi sana. Sasa hivi wewe ni kipofu na ni kiziwi. Kila kitu unakiangalia kiitikadi.
Nilikuwa nakuuliza wewe kama kupigiwa makofi ni jambo la kitaifa?
 
Nimesikia kaimu igp ,igp yupo wapi leo.?
 
Nilikuwa nakuuliza wewe kama kupigiwa makofi ni jambo la kitaifa?
Hivi wewe vipi. Uko sawa kichwani kweli? Nimejaribu kukueleza kwamba mada uliyoileta imejaa uongo, sasa wewe unaanza kuleta mambo mengine.
 
Back
Top Bottom