Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Wakati wa kikwete mlisema tuko kwenye "autopilot," sasa huyu kaiondoa hiyo autopilot sasa ambae hajafunga mkanda kazi kwake. abiria kila mmoja asome dua zake tunaliingia tufani zito,navigator wetu ni kondakta.kila mmoja hajui hii crash landing itakuwepo au la.
 
Jakaya 2008 akihutubia Bunge aligundua Waziri wake wa Fedha Mustapha Mkulo hayupo Ki Fikra Bungeni ( alisinzia )akamuuliza Swali la kustukiza katikati ya Hotuba, alipobabaika Mkulo, Jk akacheka Sanaa Kama kawaida yake ya ucheshi. Ingekuwa Awamu hii angekwenda na Maji pale pale
Sikutegemea kucheka mida hii eti" angekwenda na Maji pale pale"
 
Kinachotia moyo ni kuwa kwa sasa mnafuatilia kwa makini hotuba za Rais Magufuli mpaka mnajivika kazi za wabobezi wa Psychology
 
Mimi nimeangalia Chanel Ten. uongo wangu ni upi? Sijasema huangalii Azamtv!
Angalia Azam Two sasa hivi. Hayo makofi ni mengi tu. Unajua wazi kwamba unaandika kwa unazi wa chama. Acha hizo, sio wote tumo humu kichama. Haya ni masuala ya kitaifa.
 
11.5.2015 sheria namba 5 ya mwaka 2015..!! kumeza nako!! kazi ila nawapongeza wabunge wote waliopitisha sheria ile..!
 
Angalia Azam Two sasa hivi. Hayo makofi ni mengi tu. Unajua wazi kwamba unaandika kwa unazi wa chama. Acha hizo, sio wote tumo humu kichama. Haya ni masuala ya kitaifa.
Kupigiwa ama kutokupigiwa makofi ni mambo ya kitaifa?
 
Back
Top Bottom