Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Kwa kweli hata mimi hilo limenishangaza sana leo. Ikulu ilikuwa imejaa UNYONGE, HOFU, MASHAKA, WASIWASI, UKIWA, SIMANZI, WOGA nk.

Nimewaona mawaziri wakiwa katika hali ya sintofahamu kubwa sana.

What is wrong?
na hao ni watawala je sisi akina kajamba nano ndo balaa
 
Kuna mama moja, alikuwa jirani na Mama Ndalichako. Sijui alikuwa na majonzi gani, toka mwanzo hadi mwisho wa hotuba ya Bob alikuwa amejiimamia akionekana ni mwenye huzuni kiasi cha KUFA.
 
Angalia Azam Two sasa hivi. Hayo makofi ni mengi tu. Unajua wazi kwamba unaandika kwa unazi wa chama. Acha hizo, sio wote tumo humu kichama. Haya ni masuala ya kitaifa.
Hapa uliandikiwa na mtu mwingine?
 
Mie nimemuona Prof Ndalichako yuko pale Kimwili tu si kifikra na kiakili!

Seriously Sehemu ya Pili ya Wimbo wetu wa Taifa tunapoombea Taifa letu Mwenyezimungu haipokei Tangu Awamu ya Tano imeingia
uliingia kwenye akili zake ukakuta yupo kimwili tu mkutanoni???
 
Rungu wewe umesema makofi yalikuwa "mengi tu" mimi nimesema makofi yalikuwa "haba" sikusema kwamba hakukuwa kabisa na kushangilia! Ila ulipochembeza mambo ya "Masuala ya kitaifa" ndiyo ukanipeleka mtera!
 
Anzieni msoga kwa mstaafu ndio alituletea janga hili kwa kuogopa chama kisifie mikononi mwake, yeye alijichumia pesa ya kutosha anakula nchi ughaibuni shida zetu katuachia wenyewe tunateseka peke yetu.

Anzia msoga mstaafu awaeleze alikuwa na nia ya kujenga nchi au ni ubinafsi ulikuwa unamtuma kutuletea janga hili?!

Anzia msoga kwa mstaafu awaeleze huyu aliyekuwa waziri wake hakumjua kama Hana aiba ya uongozi au alifanya hivyo kutukomoa watanzania halisi wenzie?!

Anzia msoga tena anzia msoga nasema, anzia msoga mstaafua awaeleze furaha aliyo nayo kwa Tanzania na watanzania wenye njaa, wenye kiu, wenye magonjwa, wasiomudu elimu bure ya msingi mpaka sekondari, wenye kufungwa na kuwekwa vizuizini ili wenye madaraka wafurahi!
ANZIA MSOGA.
 
Mie nimemuona Prof Ndalichako yuko pale Kimwili tu si kifikra na kiakili!

Seriously Sehemu ya Pili ya Wimbo wetu wa Taifa tunapoombea Taifa letu Mwenyezimungu haipokei Tangu Awamu ya Tano imeingia
Wabariki viongozi wake...ha ha jajaja
 
Mimi naona wanatafakari kombora lililotumwa je litawapata na wao!!!?......
 
Suala la madawa ya kulevya ni suala la kitaifa, umenisikia?
Sasa ndiyo hata mtu akileta ucheshi hamcheki kisa ni suala la kitaifa? Kuna mtu alikuwa anazungumza masuala ya kitaifa kuliko Mwalimu, mbona watu walikuwa wanacheka?
 
Mmebakia kuunda maneno.Awamu ya tatu ya majina inatangazwa kesho ukumbi wa Mwalimu Nyerere
 
..lazima prof awe mnyonge...kapewa order ya kuwanyisha tena watoto wa form one mtihani ili kuwapunguza...na hili sidhani kama kichwani kaliafiki...lakini ndio hivyo lazima afanye....la sivyo kazi Hana..wanaocheks na bwana mkubwa ni wanafiki...wanaotumikia matumbo yao na watoto wao...hapa kazi tu...



Mie nimemuona Prof Ndalichako yuko pale Kimwili tu si kifikra na kiakili!

Seriously Sehemu ya Pili ya Wimbo wetu wa Taifa tunapoombea Taifa letu Mwenyezimungu haipokei Tangu Awamu ya Tano imeingia
 
Mmebakia kuunda maneno.Awamu ya tatu ya majina inatangazwa kesho ukumbi wa Mwalimu Nyerere
Tangazeni tu. Hata majina ya watu waliojichotea hela kwenye akaunti ya Tegeta-Escrow yalitangazwa tena bungeni!!
 
Pita na kauli hiZi, "

sheria imekutamka wewe waziri mkuu kuwa mwenyekiti, isinge kuwa ivyo ningejipa Mimi uenyekiti"""


"I wish ninge kua IGP


Hizo kauli ni indiketa kuwa his wish is to be everything!!! yaaani one man army!!!


Ni mkumbushe hakuna anayepinga kukamata wauza unga, tunachotaka ni je , sheria zinzingatiwa??? Unless other wise naona jazba tu!!! Watu wamekaa umo utadhani wameambiwa mapema kabisa olewenu mtu acheke cheke ovyo!!!
 
Back
Top Bottom