UKIMWI umeua wengi jamani

UKIMWI umeua wengi jamani

Acheni ngono zembe na mkiweza msubiri,Mi sasa hivi nshaamua sidate na mwanaume hadi tukapime..Maana kuna watu nliwahi kuambiwa wameathirika sikuamini..Sasa ntajuaje kwa mtu wa kukutana nae njiani??

Nipo tayari kupima bibie,nicheki PM
 
Mkuu niombee na mimi nipunguze maana shetani naona yuko uvuguni mwangu.

Pole sana aisee.... Ni kwa msaada wa Mungu pekee utaweza kuvuka hapo... Endelea kuomba Mungu na pia tafuta Kanisa la kiroho kwa ajili ya maombi na Deliverance kama kweli unamaanisha uhitaji wa hiyo hali kuondoka katika maisha yako. Kwa akili zako na utashi pekee havutakusaidia kutoka hapo ulipo.... Ni kwa uwezo wa Mungu pekee utavuka hapo.
 
Kiukweli mpaka nimeishiwa na nguvu.nakumbuka nlivyompoteza my sister. Na baadae nikaja kujua kumbe na Dada angu mwingine nae anatumia ARV.naumiaga Sana.ila yy hajui Kama mm najua.naliaga sana

Huu ugonjwa upo jamani.... Upo na utaendelea kuwepo kwa sababu mabadiliko ya tabia ni maamuzi binafsi..... Acha asilimia ndogo sana wanaoupata kwa njia nyingine za maambukizi.
 
jifanganyeni tuu kwa imani zenu za kipuuzi cancer
nayo ni biashara eeh? wangap huko majuu wana ugua wasanii kama eazy e marehemu, dada yake mariah carey, magic johnson, yule mkali wa pop prince aliekufa juzi. wengine kibao umeshuhudia kwa
macho yako kweli wadhubutu kusema ukimwi haupo
haupo?? ukikupata ndo utaamini poor you shame on you na akina deception kwa kudanganya uma lazima tutoe elimu na onyo anaepita huku ajifunze.
magonjwa mangapi hadi leo hayana tiba it means nayo ni biashara??? by the way pray hard unatatizo kubwa sana wewe na Mungu akuondolee hilo tatizo
ufunguke kichwani.

Kelele nyingi alafu pumba tupu.

Endelea kubaki kizani.

Propaganda ya wenye biashara hii ndio iliyo kuathiri.
 
Kiukweli mpaka nimeishiwa na nguvu.nakumbuka nlivyompoteza my sister. Na baadae nikaja kujua kumbe na Dada angu mwingine nae anatumia ARV.naumiaga Sana.ila yy hajui Kama mm najua.naliaga sana
pole sana mkuu umenisikitisha ila Mungu atakupa faraja tuu.
 
Hivi kweli Condom inazuia ukimwi? Mbona watu wengi wanatumia ila pia inaenda sambamba na utumiaji wa ARV?

Maswali kama hayo ukijiuliza kama 10 utaanza kuiona kweli ya biashara hii.

Tatizo binaadam tunatofautiana uwelewa.
 
Pole sana aisee.... Ni kwa msaada wa Mungu pekee utaweza kuvuka hapo... Endelea kuomba Mungu na pia tafuta Kanisa la kiroho kwa ajili ya maombi na Deliverance kama kweli unamaanisha uhitaji wa hiyo hali kuondoka katika maisha yako. Kwa akili zako na utashi pekee havutakusaidia kutoka hapo ulipo.... Ni kwa uwezo wa Mungu pekee utavuka hapo.
hakika Mwenyezi-Mungu amponye ndugu yetu na sisi pia.


haki
 
Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.

Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.

Ushauri wangu kwenu wana MMU.
 
Kelele nyingi alafu pumba tupu.

Endelea kubaki kizani.

Propaganda ya wenye biashara hii ndio iliyo kuathiri.
sawa tuu acha niendelee kubaki katika njia ya ukweli. we na elimu yako kubwa ambayo ni ujinga mtuu ushindwe usije potosha watu hata kama vipi nikuwekeee damu yenye virusi vya hiv vya kutosha halaf tuone matokeo.
 
sawa tuu acha niendelee kubaki katika njia ya ukweli. we na elimu yako kubwa ambayo ni ujinga mtuu ushindwe usije potosha watu hata kama vipi nikuwekeee damu yenye virusi vya hiv vya kutosha halaf tuone matokeo.

Ha ha ha nimecheka sana mpaka wifi yako ameni shangaa!!!!!

Uniwekee nini??? Damu yenye H I V??

Dah! Umeona ufaham wako ulivyo mdogo kwenye swala hili?

Inaonyesh wengi munao lishupalia jambo hili hamuna ufaham nalo ,,na munavyo litukuza ndivyo munatumika katika kuwajaza ujinga na wengine.
 
Kiukweli mpaka nimeishiwa na nguvu.nakumbuka nlivyompoteza my sister. Na baadae nikaja kujua kumbe na Dada angu mwingine nae anatumia ARV.naumiaga Sana.ila yy hajui Kama mm najua.naliaga sana
Unalia nn sasa Angekuwa na Kansa?!
 
KKuna mzungu mmoja tulikuwa nae pori akaja mdogo wake kutoka south halafu akatuambia " my young bro is hiv + please i want you to show love to him" weeeeee nikajisemea rohoni nyokoooo huyu mzungu msengreeeee nini yaani mi ni socialize na mtu mwenye ukimwi? Nikasema hapa ndo bongo unyanyapaa mwanzo mwisho... We una ukimwi usinisogeleee.
mkuu nimeipenda id yako, huenda ndio maana mzungu akapendekeza ushow love
 
Ugonjwa umekaa mahala pabaya.

Kila mtu apataka
 
Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.

Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.

Ushauri wangu kwenu wana MMU.
hivi mtu anaweza kutembea na muathirika wa ukimwi kwa kufunga goli moja tu ila na huyo mtu asiupate???
 
Back
Top Bottom