KWANI UKIMWI UPO.? cc.
Deception
Ukimwi upo lakini si jambo la kuogopa,kwa maana ukimwi humpata mtu na kutoweka hata bila ya mtu kujijua,inategemea na style ya maisha yake tu.Hivyo kila mtu aliwahi na atawahi kuwa na ukimwi na baadaye unaweza kutoweka kutegemea na style yake ya maisha,hata Obama na Bush waliwahi pia kuwa na ukimwi.Ukimwi si ugonjwa na ukimwi HAUUI.Kinachoua ni magonjwa halisi kama vile malaria,TB,Kisukari,cancer nk.
Tatizo hapa ni kuhusisha ukimwi(ambao si tishio kabisa) na HIV.Halafu watu hupewa ARVs ambazo ndizo husababisha vifo kwa wale wanaozitumia halafu 'innocent' HIV HEWA ndio anapewa lawama zote.
Tatizo kubwa ambalo watu wengi wanalo ni kutojua hata basics kuhusu suala hili feki.Watu hawajui hata maana ya ukimwi ni nini na hawajui pia ni mambo gani yanayosababisha watu wanaodhani wana HIV waugue au wafe.Sasa kundi hili la watu ni vigumu sana kuelewa ukweli ulivyo kwasababu wanatumia KASUMBA zaidi ya ukweli ulivyo.
Kama huamini, wewe weka swali humu linalouliza "ukimwi ni nini" halafu subiria majibu uone bongo za watu zilivyochoka.Hapo ndio utajua kwanini jamii kama hii itaendelea kuangamia kwa kukosa maarifa kama misahafu inavyosema.Watu hawajui halafu wabishi.
Nadhani unakumbuka kipindi cha nyuma jinsi madaktari walivyopinga halafu hawakuwa na hoja za msingi kuthibitisha kwamba mimi nadanganya zaidi ya porojo na hasira tu.Haya mambo hayahitaji hasira wala visirani,haya mambo ni sayansi.Hata watu wakinichukia mimi nitaendeleza juhudi za kuokoa jahazi hili kila ninapopata muda wa kufanya hivyo.
Niwe hai au mfu,ninakuhakikishia kwamba ipo siku HIV/AIDS itadharaulika na kupotezewa kama yalivyodharaulika magonjwa mengi tu ambayo yalidhaniwa kuwa tishio hapo zamani kama vile pelagra(Ukosefu wa vitamini B),Scurvy(ukosefu wa vitamini C),SMON nk.Haya magonjwa yamekuwa historia sasa baada ya Big Pharmaceutical industries kuficha ukweli kwa muda mrefu.Sasa watu wanajua ukweli,basi hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa HIV/AIDS.Kwa wale wepesi wa kufuatilia na kuelewa,basi HIV/AIDS kwao imeshakuwa historia na si watumwa tena wa kifikra.
Poleni sana wale ambao ni vichwa ngumu.Nakubali kwa moyo mkunjufu kwamba hatufanani kiuelewa,na si lazima wote wakubaliane na haya ninayosema,wapo watakaokubali/kuelewa na pia wapo watakaopinga.Kundi la wajinga lazima liwepo kwa maana ndio mtaji wa werevu sehemu yoyote ile hapa duniani.
Watu hupenda sana kulalamika,eti "mimi mwenyewe nimepoteza ndugu zangu kwa ukimwi halafu wewe deception unakuja kudanganya watu hapa".He he heee,Je,umeuliza nikashindwa kukujibu?Watu kama hawa ukiwauliza "hebu niambie mgonjwa mmoja tu uliyempoteza alikuwa anaumwa ugonjwa gani unaofahamika ukiachilia mbali huyo HIV?"....hajui na hana jibu....,sasa hapa ndipo utakapoona kwamba watu kama hawa ni vigumu mno kuelewa kwasababu wanaleta IMANI zaidi kwenye mambo ya KISAYANSI.