twabd tupme woteAcheni ngono zembe na mkiweza msubiri,Mi sasa hivi nshaamua sidate na mwanaume hadi tukapime..Maana kuna watu nliwahi kuambiwa wameathirika sikuamini..Sasa ntajuaje kwa mtu wa kukutana nae njiani??
Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.
Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.
Ushauri wangu kwenu wana MMU.
Wewe tena,haya twendetwabd tupme wote
Pia ipo kwenye MALARIA....Ukimwi ni biashara.
Ni kweli bt dunia ya sasa imeoza hii[emoji134]
Juzi tu hapa kuna wapenz walipima wakafunga ndoa baada one year mke kashika mimba kwenda kupima clinic wanaambiwa unao njoo na mmeo tukushauri jinsi ya kumlinda mtoto hadi azaliwe salama..Huyo sio mlokole huyo alikuwa chui kwnye kundi la kondoo,walokole wenye hofu ya Mungu hawawezi kufanya hayo acha kusingizia watu
akawekwa kikao akakiri alikua na bwana mkoani na akienda anafanya yake Tena walokole atiii...sasa mi nkiolewa na huyu mwenye mambo ya kidunia itakuwaje? naogopa
bado sio suluhisho huyo uliemchagua kuwa muneo/mkeo anaweza kukuletea bado hali ni ngumu kikubwa tujikabidhi kwa Mungu kwanzia sasa.Acheni ngono zembe na mkiweza msubiri,Mi sasa hivi nshaamua sidate na mwanaume hadi tukapime..Maana kuna watu nliwahi kuambiwa wameathirika sikuamini..Sasa ntajuaje kwa mtu wa kukutana nae njiani??
hapana mkuu kikubwa tuweze tu kukubali hali halis na mihemuko yetu najua hapo uko hoi ila sina nia mbaya. accept the challenge you wilk win na sio kukumbia tatizo bali tatua ili siku nyingine ukikumbana nalo lisikusumbue.Nadhani Avata yako (Profile Picture) inakinzana na mada nzuri uliyoianzisha. Hivi itakugharimu chochote kubadili hiyo picha? Ahsante
jifanganyeni tuu kwa imani zenu za kipuuzi cancerKweli ukimwi ni biashara maana tangu uingie duniani hakuna hata dawa ya kuponyesha. Ila tuwe makini sana na huu ugonjwa upo na unaua.
Nilidhani kanitukana FYI_ *** You Idiot..... Kiingereza hiki lmao...FYI......maana yake ni : For Your Information.
Kama ilivyo NB ...Nota Bene.