UKIMWI umeua wengi jamani

UKIMWI umeua wengi jamani

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.

Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.

Ushauri wangu kwenu wana MMU.
 
yaan hiyo avatar yako nikikutana a mwanamke mwenye shape hiyo akishavua chupi hua sipendi kuvaa condom maana wana ladha moja amaizing sanaaaaa......nivae kinga ya nini na utamu wote huo???na ni lazima niwaweke wareno kunako....
 
KKuna mzungu mmoja tulikuwa nae pori akaja mdogo wake kutoka south halafu akatuambia " my young bro is hiv + please i want you to show love to him" weeeeee nikajisemea rohoni nyokoooo huyu mzungu msengreeeee nini yaani mi ni socialize na mtu mwenye ukimwi? Nikasema hapa ndo bongo unyanyapaa mwanzo mwisho... We una ukimwi usinisogeleee.
 
KKuna mzungu mmoja tulikuwa nae pori akaja mdogo wake kutoka south halafu akatuambia " my young bro is hiv + please i want you to show love to him" weeeeee nikajisemea rohoni nyokoooo huyu mzungu msengreeeee nini yaani mi ni socialize na mtu mwenye ukimwi? Nikasema hapa ndo bongo unyanyapaa mwanzo mwisho... We una ukimwi usinisogeleee.
Stigmatisation at his highest stage.
 
Watoto nao wanazaa watoto, sasa unafikiri watu watapunguaje?? Wale wanaoupata kwa sababu ya ngono zembe acha wadedi tuu, hamna namna, kumaliziana hewa sio kitu kizuri.
 
sired kama hizi nikiingiaga JF huwa nahamu nisitoke asante mkuu,, maana hil gonjwa linatisha mpaka limenifanya niwe mbali na jinsia ingine maana kila aliekuzunguka anahemea ARV,,,,...

Mungu ndio anaetoa pumzi.sio ARV...
 
Kuna ndugu yangu wa karibu juzi kafunguka kwamba anatumia ARV yan hapa sina hamu hata kidogo na wanawake...

Una uhakika huo ukimwi kaupata kwa mwanamke?..siku hizi wanaume kwa wanaume wanaambukizana wenyewe kwa wenyewe ndugu..dunia imekua tambara bovu hii ndugu
 
Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.

Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.

Ushauri wangu kwenu wana MMU.
MBONA HUELEWEKI?
 
...watu wanavyojiachia sasa, utafikiri hizo nyuchi zimethibitishwa na TBS au TFDA kwa matumizi ya binadamu. Kumbe wengi wetu tunatembea huku ngoma inatutafuna taratibu. Anyway, watu wanazaliwa sana, tukiishi miaka mia the world will be congested.
 
Back
Top Bottom