mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,700
- 9,070
Watu wanachukulia poa sana asikwambie mtu ngwengwe ni noma aisee isikie kwa mwenzako niliwahi pitia demu anao mwaka mzima niliishi kwa hofu na mashaka nashukuru Mungu nilikuwa salama na sahv ujinga wote niliacha nina mke na soon ntakuwa baba ushauri wangu kwa vijana kama unapenda nyapu na unayapenda maisha yako tulia tu ila kama huwezi usipige bao zaidi ya 1 na hakikisha demu umemchezea vya kutosha do this at your own risk