Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,261
Hata waliotegemea na kutabiri kifo cha mze whitehair wakati huo wengi awapo na mzee yupo anajikongojaUnaweza ukafa wewe afu ukamuacha
Mimi niko likizo hapa, nikitoka kwenye mishe zangu natulia tu. Au unataka ninyakue mawe ili ujue nafanya kazi. UKIMWI SIO MCHEZO. Dogo anakwisha kwa mawazoAcha umbea bro ... fanya kazi
Mwanaume unakaa adi kujua flani kawalala wangapi mtaani!!! Au nasemezana na mvulana hapa emb kwanza...Miaka 22 umezaa na mabinti 2, umewatia mimba wengine 2. Huo sio umalaya ndugu?
Mtaani hapa alilala nao vibinti kama 4-5 within 2 weeks huo nao sio umalaya?
Huyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti. Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi michache alishikwa na Homa walipompima wakamkuta na ngoma, amedata sasa anaweweseka tu anasema anasubiri kifo.
Huku wengine tuna miaka 33 na tuna mtoto mmoja tu kijana wa 22 anakuwa na watoto 2 aliozaa na wanawake tofauti.
Huyu mtoto anakili aliwala majimama wengi na vibinti bila kujali umri.
Umalaya sio sifa, msicheze na Ngoma wazee
Sasa ukileta humu ... unakua umemsaidia vipi...Ishi maisha yako ... maisha yenyewe mafupiMimi niko likizo hapa, nikitoka kwenye mishe zangu natulia tu. Au unataka ninyakue mawe ili ujue nafanya kazi. UKIMWI SIO MCHEZO. Dogo anakwisha kwa mawazo
Hapo tuseme Rip mtaa mzima maana inaonekana ngoma kaipatia hapo hapo ulipo daaa maskin mtoa mada utaambia nini Mungu weweHuyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa Dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti.
Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi michache alishikwa na Homa walipompima wakamkuta na ngoma, amedata sasa anaweweseka tu anasema anasubiri kifo.
Huku wengine tuna miaka 33 na tuna mtoto mmoja tu kijana wa 22 anakuwa na watoto 2 aliozaa na wanawake tofauti.
Huyu mtoto anakili aliwala majimama wengi na vibinti bila kujali umri.
Umalaya sio sifa, msicheze na Ngoma wazee
Vibinti vinne mbona vichache sana nilijua vibinti ishirini kama mimi enzi zanguMiaka 22 umezaa na mabinti 2, umewatia mimba wengine 2. Huo sio umalaya ndugu?
Mtaani hapa alilala nao vibinti kama 4-5 within 2 weeks huo nao sio umalaya?
Watoto watano wachache sana Bibi yao hapo analaumu tu, mwanga mbengu mwagaaa