UKIMWI umemfyekelea mbali dogo msherati wa kutupwa wa miaka 22, sasa hana tumaini tena anasubiri kifo tu

Huyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa Dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti.

Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi michache alishikwa na Homa walipompima wakamkuta na ngoma, amedata sasa anaweweseka tu anasema anasubiri kifo.

Huku wengine tuna miaka 33 na tuna mtoto mmoja tu kijana wa 22 anakuwa na watoto 2 aliozaa na wanawake tofauti.

Huyu mtoto anakili aliwala majimama wengi na vibinti bila kujali umri.

Umalaya sio sifa, msicheze na Ngoma wazee

Upo sawa kabisa kuwa umalaya ndio chanzo cha miwaya...ila usijidanganye kutulia kutakuepusha...huyo mwenzio unayajua ayoyafanya huko pembeni...nani alikudanganya kutembea na wanawake wengi ndo kupata ngoma...ukimwi unatokana na mtu kutokuwa makini...unajua wazi wewe ni malaya lakini kuvaa kinga hautaki unategemea nini????

Mungu amtie faraja kijana kuwa na ngoma siyo mwisho wa maisha...
 
Miaka 22 umezaa na mabinti 2, umewatia mimba wengine 2. Huo sio umalaya ndugu?
Mtaani hapa alilala nao vibinti kama 4-5 within 2 weeks huo nao sio umalaya?
Huyo ana maambukizi tu na ana weza kubadilika akawa mtu mwema sana.
Wanakufa watu kwa magonjwa mbalimbali,ajali nk,wanawaacha wenye UKIMWI duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa Dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti.

Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi michache alishikwa na Homa walipompima wakamkuta na ngoma, amedata sasa anaweweseka tu anasema anasubiri kifo.

Huku wengine tuna miaka 33 na tuna mtoto mmoja tu kijana wa 22 anakuwa na watoto 2 aliozaa na wanawake tofauti.

Huyu mtoto anakili aliwala majimama wengi na vibinti bila kujali umri.

Umalaya sio sifa, msicheze na Ngoma wazee
Usimtenge wala kumdhihaki wala kumcheka bali mpe faraja ,kesho yetu bado ni mbali na yenye safari ya kizani .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom