UKIMWI, Pombe, Kitimoto na Urbanization ni Threat to National Security

Urbanization. So far ule uzalishaji wa kijijiji haupo tena. Young boys have moved to town kwenye bodaboda. Miundombinu are in bad shape. We don't produce. We are in town to sell industrial juice na kubet. This is a timed bomb for our national security. We need to bring them back to village through friendly environment.
HII NAOMBA IWEKEWE LAMINATION IBANDIKWE STAND ZOTE ZA MBASI YA MIKOANI.
 
Mkuu tuliozaliwa vijijini tunajua hali halisi kwa sasa. Vijana hawataki kufanya kazi za shamba kabisa, wengi wanajifanya kuishi ki-mjini wakati mifukoni panasoma zero. Wengi wamekenyela kwa kubwia pombe,sigara,ugoro.

Kiufupi hali zao ni mbaya sana.

Unforgetable
kwa tunaowaza kurudi kijijini, wapi tuanzie?
 
Kuhusu vijana kwenda mjini na kukimbia kilimo kiukweli ni swali tata.

Katika wakulima wanaopata faida naamini hawafikii asimia kumi. Wengi wanalima kwa mazoea na kubahatisha. Kikubwa kinachwaangusha ni gharama za uzalishaji dhidi ya mapato. Lingine ni wa masoko yenye uhakika.

Solution ni kuongeza utafiti katika kilimo na masoko na kusaidia wakulima kwa namna zote. Kikiwa na faida vijana watachagua kilimo.
 
Mkuu tuliozaliwa vijijini tunajua hali halisi kwa sasa. Vijana hawataki kufanya kazi za shamba kabisa, wengi wanajifanya kuishi ki-mjini wakati mifukoni panasoma zero. Wengi wamekenyela kwa kubwia pombe,sigara,ugoro.

Kiufupi hali zao ni mbaya sana.

Unforgetable
Mkuu kwani fursa zipo? Mfano upatikanaji wa ardhi yenye rutba, mkopo usio na masharti magumu, soko la uhakika, miundo mbinu kama barabara?

Binafsi nahisi serikali bado ina role kubwa ya ku-play kufanya kilimo iwe sekta inayovutia hasa kwa vijana.
 
Mada za mihemko bwana, we kula ulale bwana, kwani hii dunia ni ya nani?? Mpaka uanze kuwaonea watu huruma na ukimwi, au nguruwe,?? Kausha fanya maisha yako uzeeke na utakufa acha umbea
 
Hapo kwenye kitimoto nahisi umesema sababu imani yako hairuhusu kutumia...
Siyo kila lifanywalo na madaktari ni jambo sahihi.

Madaktari nao wanakosea sana tu kwenye mambo mengi.

Wapo madaktari wengi ambao wako obersity.

Wengi ni malaya na huku wakishuhudia madhara ya umalaya wakiwa kazini mwao,

Halafu usijilinganishe na wazee wa vijijini wale life style yao ni tofauti na walio mjini.

Wazungu nao mazoezi wao ni jambo la lazima na la kitamaduni siyo kama jamii zetu hususa za mijini.

Tutafakali zaidi.
 
Hii yaweza kuwa sababu ya wanaume wengi kutangulia kufa?

Umalaya na pombe ni tabia mbaya sana zenye kumchukiza Mungu na Wanadamu.

Tumgeukie Mungu tutubu tuache mabaya tukatende mema kwa faida yetu na vizazi vyetu.
 
Mada za mihemko bwana, we kula ulale bwana, kwani hii dunia ni ya nani?? Mpaka uanze kuwaonea watu huruma na ukimwi, au nguruwe,?? Kausha fanya maisha yako uzeeke na utakufa acha umbea

Mkuu mbona unaongea kwa hisia kali Sana,

Sema tuh jamaa kagusa angle mbaya ola amesema ukweliii...

Mitungii,mikasiii na misosiii...

Na hiyo ndiyo raha ya duniaa,gusa unasee.
 
Shikamoo mama Samia. Nimeona uko serious sana na report ya CAG. I love you. Nchi hii imejaa notable crooks. Please deal with them. Nenda kwenye public institutions and do something. Halmashauri nyingi ni wezi but hali ni worse kwenye public institutions. Unfortunately your CAG doesnt audit all of them as he does kwa halmashauri. Let me give you a tip. CAG officers pia wanahongwa na hizi public institutions. CIAs wanawaogopa CEOs. The problem starts here. If you appoint a CEO today, give him/her a year. You're likely to produce a billionaire. A public institution is very sweet. Whether it's ngorongoro or university of Dar or IFM. Start there and you will be suprised. Hii ni mada ya siku nyingine. Today, I am suggesting something else.

1. Kuna possibility kubwa ukimwi Tanzania umejaa. Sisi tulio ndani ya ndoa I think it's no longer a secret. Husbands don't care. They compete on the number of sidechicks. Wives have become "civilized harlots". I repeat, ni ndoa chache ambazo kuna uaminifu. Secondary kids and university community members understand this. Most of them are positive. They sleep with husbands. Makazini na biashara sex has become a "public good". If you talk to doctors, wagonjwa ambao hawajaanza dawa na walioanza dawa ni wengi sana. People don't care. We don't at all. Kwahiyo tunatembea na ukimwi kwenye miili yetu. Siyo sheikh wala pastor wala bishop aliye salama. I don't want to talk about politicians. They are in bad conditions. Covid imetuamsha. Wagonjwa wengi wa ukimwi wameondoka. Wengi wataondoka ghalfa kwa sababu ya dawa zinaficha mengi. I thought kijijini hawana ukimwi. Lo!wanakufa sana. Tusipokuwa makini taifa letu litakosa viongozi was Leo na kesho ambao ni smart. This is a future threat on our national security.
2. Pombe inanyweka sana. Our baby brothers and sisters who spend their lives in liquor are in danger of ruining their future. Husbands have misdirected our families. Pombe inaingiza tax revenues but is a source of underlying health conditions ambazo slowly they kill our briliiant leaders bila kujua. Wataisha kwa magonjwa. Where shall we get smart leaders? Sadly, smart politicians afya zao wengi zimeharibiwa na alcohol. They are dying. Youth are perishing.

3. Kitimoto. Talk to doctors na watakueleza kuwa cancer na magonjwa ya moyo mengi yanakuwa driven na hiki kitu. Mwenzi wangu hatumii pombe wala kitimoto. Probably atasogeza siku na kupunguza magonjwa. Smart people wakiisha, we will be led by an automatic option. Hii ni threat to our future.

4. Urbanization. So far ule uzalishaji wa kijijiji haupo tena. Young boys have moved to town kwenye bodaboda. Miundombinu are in bad shape. We don't produce. We are in town to sell industrial juice na kubet. This is a timed bomb for our national security. We need to bring them back to village through friendly environment.
Naomba ukae kimya na kitimoto tena ukae kimya. Udini tu unakusumbua
 
Shikamoo mama Samia. Nimeona uko serious sana na report ya CAG. I love you. Nchi hii imejaa notable crooks. Please deal with them. Nenda kwenye public institutions and do something. Halmashauri nyingi ni wezi but hali ni worse kwenye public institutions. Unfortunately your CAG doesnt audit all of them as he does kwa halmashauri. Let me give you a tip. CAG officers pia wanahongwa na hizi public institutions. CIAs wanawaogopa CEOs. The problem starts here. If you appoint a CEO today, give him/her a year. You're likely to produce a billionaire. A public institution is very sweet. Whether it's ngorongoro or university of Dar or IFM. Start there and you will be suprised. Hii ni mada ya siku nyingine. Today, I am suggesting something else.

1. Kuna possibility kubwa ukimwi Tanzania umejaa. Sisi tulio ndani ya ndoa I think it's no longer a secret. Husbands don't care. They compete on the number of sidechicks. Wives have become "civilized harlots". I repeat, ni ndoa chache ambazo kuna uaminifu. Secondary kids and university community members understand this. Most of them are positive. They sleep with husbands. Makazini na biashara sex has become a "public good". If you talk to doctors, wagonjwa ambao hawajaanza dawa na walioanza dawa ni wengi sana. People don't care. We don't at all. Kwahiyo tunatembea na ukimwi kwenye miili yetu. Siyo sheikh wala pastor wala bishop aliye salama. I don't want to talk about politicians. They are in bad conditions. Covid imetuamsha. Wagonjwa wengi wa ukimwi wameondoka. Wengi wataondoka ghalfa kwa sababu ya dawa zinaficha mengi. I thought kijijini hawana ukimwi. Lo!wanakufa sana. Tusipokuwa makini taifa letu litakosa viongozi was Leo na kesho ambao ni smart. This is a future threat on our national security.
2. Pombe inanyweka sana. Our baby brothers and sisters who spend their lives in liquor are in danger of ruining their future. Husbands have misdirected our families. Pombe inaingiza tax revenues but is a source of underlying health conditions ambazo slowly they kill our briliiant leaders bila kujua. Wataisha kwa magonjwa. Where shall we get smart leaders? Sadly, smart politicians afya zao wengi zimeharibiwa na alcohol. They are dying. Youth are perishing.

3. Kitimoto. Talk to doctors na watakueleza kuwa cancer na magonjwa ya moyo mengi yanakuwa driven na hiki kitu. Mwenzi wangu hatumii pombe wala kitimoto. Probably atasogeza siku na kupunguza magonjwa. Smart people wakiisha, we will be led by an automatic option. Hii ni threat to our future.

4. Urbanization. So far ule uzalishaji wa kijijiji haupo tena. Young boys have moved to town kwenye bodaboda. Miundombinu are in bad shape. We don't produce. We are in town to sell industrial juice na kubet. This is a timed bomb for our national security. We need to bring them back to village through friendly environment.
Sasa wewe ni mswahili au ni mchina au ni mzungu?

Kwanini usichague lugha moja ukaelezea kitu watu watakuelewa vizuri tu.

Au unadhani kuchanganya kizungu na kiswahili ndiyo unajiona boonge la msomi au much know?
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom