Bonheur Travels Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 252
- 499
- Thread starter
- #21
Ili nitafute maisha
Kumbe ulisema uzamie? Ukifanya hivyo utakuwa umevunja sheria na ukikamatwa utarudishwa nchini.
Kama una taaluma au ujuzi, tumia njia halali ikiwemo kutafuta ajira itakayokuwezesha kupata kibali cha kuishi huko na hata uraia ukitaka.