Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Ni aje wana jamvi,najua katika mambo ambayo member anaweza kuyafanya hapa jamvini ni pamoja na kuanzisha thread,kuchangia/ku comment kwenye thread flani, kugonga LIKE kama umekuwa impressed na mchango wa member flani kwenye thread flani, kuna member mmoja rafiki yangu sana sijawahi ona amemgongea LIKE mtu yeyote. Rutashobolwa, upooooo!!!!!!!! (Kiroho safii!!!)