Ukifuta picha kwenye simu zinakwenda wapi?

Ukifuta picha kwenye simu zinakwenda wapi?

Na hapo hapo niulize je ukifuta wasap message au picha kwenye wasap hii recycle bin yake ipo? na kama ipo je inakua wapi?
WhatsApp huwa inapandisha data kwenda Google account ndo maana ukifuta siku ukija download nyingine zinarudi tu mpk na video
 
Kwenye Tech, hakuna uwezo wa kufuta data. Hiyo delete unayoandikiwa ni kama geresha tuu. Hiyo simu yako au PC inaweza rudisha data zote ulizowahi kufuta. Delete uwa inabadilisha address ya content tuu.

Ukishaweka content yoyote kwenye simu au PC na ukaifuta anytime hiyo content inaweza kuwa retrieved.
Storage inakuwa Wapi? Kama ume delete permanent.
 
Mimi naomba mnishawishi kwamba wazungu sio freemason wakati unaweza chaji simu kwa wireless charge
Pili mziki na picha tunatumianaje kwa Bluetooth
Mkuu hizo Ni Mambo za kucheza tu mfano umeme labda upo kwenye fom ya electric wave hapo wanaubadili uje kwenye sound wave ili upigige short mtu akipita na kile kifaa wataweka kwenye simu kinarudi ubadili tena tu electric
 
Loh! Umeona balaa hilo! Ndio maana kuna mijitu hata simu haitumii kabisa, wana mawasiliano tata sana! Kuna mmoja kila nikimuuliza sababu ya kutokua na simu ilihali kuna simu mpaka za elfu10 anacho jibu ni namba ya NIDA hata hua ananifikirisha sana huyu jamaa
Yupo tajiri mmoja huko Kilimanjaro yeye hanaga simu ya mkononi anacho fanya Ni kuomba ya mtu na kupiga au atumie radio call
 
Kufanya backup sio lazima.
Tusiofanya, whatsapp zikifutika zinafutika na kila kitu
Sio kirahisi hivyo kuna kufanya revised ya kifaa hichi kitu nadhani ushawai kisikia Yani simu yako umeinunu 2000 leo umekamatwa na police ukagoma toa password wanairudisha nyuma mpk 2000 ikiwa mpya alafu wanaweka password nyingine alafu wanairudisha leo wanacopy wanachotaka ila si hawa police wetu mkuu Hawa hata simu ilipotea wanashindwa itrack
 
Kwenye iOS unapofuta faili kwenye iPhone au iPad, mara moja huhamishiwa kwenye albamu iitwayo "Recently Deleted" ndani ya programu ya Picha. Faili hizo zinabaki katika albamu hiyo kwa kipindi fulani (kawaida siku 30) kabla ya kufutwa kabisa. Hii ni kwa mujibu wa mitandao. Kwa Android faili zilizofutwa kawaida huhihifadhiwa kwenye folda maalum inayoitwa "Recycle Bin" au "Trash." Hata hivyo, uwepo wa recycle bin unatofautiana kulingana na mtengenezaji wa kifaa na programu ya usimamizi wa faili unayotumia. Ikiwa hakuna recycle bin, faili linaweza bado kurejeshwa mpaka data mpya iwekwe kwenye kumbukumbu ya kifaa. Ikumbukwe kwamba faili lililofutwa huweza kurejeshwa, zipo programu zenye uwezo wa ku-retrieve au kusoma mafaili yalofutwa na kuyarejeleza.
 
Kwenye iOS unapofuta faili kwenye iPhone au iPad, mara moja huhamishiwa kwenye albamu iitwayo "Recently Deleted" ndani ya programu ya Picha. Faili hizo zinabaki katika albamu hiyo kwa kipindi fulani (kawaida siku 30) kabla ya kufutwa kabisa. Hii ni kwa mujibu wa mitandao. Kwa Android faili zilizofutwa kawaida huhihifadhiwa kwenye folda maalum inayoitwa "Recycle Bin" au "Trash." Hata hivyo, uwepo wa recycle bin unatofautiana kulingana na mtengenezaji wa kifaa na programu ya usimamizi wa faili unayotumia. Ikiwa hakuna recycle bin, faili linaweza bado kurejeshwa mpaka data mpya iwekwe kwenye kumbukumbu ya kifaa. Ikumbukwe kwamba faili lililofutwa huweza kurejeshwa, zipo programu zenye uwezo wa ku-retrieve au kusoma mafaili yalofutwa na kuyarejeleza.
Hapo danganya toto tu ukitaka sms na call zako nenda kwenye mitandao yasimu zipo Kuna kesi Kama sikosei niya mboe call na sms zilienda ombwa huko kwenye mtandao na kutumika Kama ushaidi
 
Hapo danganya toto tu ukitaka sms na call zako nenda kwenye mitandao yasimu zipo Kuna kesi Kama sikosei niya mboe call na sms zilienda ombwa huko kwenye mtandao na kutumika Kama ushaidi
Hii inajumuisha mpaka message za whatsapp, telegram? yaan kwa mfano nina whatsapp kwa namba ya voda je voda watakuwa na access ya message zangu za whatsapp
 
Hapo danganya toto tu ukitaka sms na call zako nenda kwenye mitandao yasimu zipo Kuna kesi Kama sikosei niya mboe call na sms zilienda ombwa huko kwenye mtandao na kutumika Kama ushaidi
Mleta sled bila shaka anaulizia intaneti based content. Hiyo ya telecom ku retrieve data yake sio kirahisi hivyo, na hivi sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi imeingia kazini rasmi sio rahisi kwenda Tigo ukawaambia wakugee hizo data, unless kuna Court Order
 
Hii inajumuisha mpaka message za whatsapp, telegram? yaan kwa mfano nina whatsapp kwa namba ya voda je voda watakuwa na access ya message zangu za whatsapp
Sidhani kama watakuwa nazo ila hizo zitakuwa kwenye Google
 
Storage inakuwa Wapi? Kama ume delete permanent.
Wewe unaelewa nini kuhusiana na storage?

Unadhani kwenye pc au simu au server kuna shimo la taka ukiambiwa parmanent deleted hizo takataka zinachomwa moto?

Ukiweka content kwenye PC au Simu au server, uwa inapewa address ili iwe accessible na user wa kawaida. Uki delete, iyo content inapewa address ambayo wewe user huwezi access hiyo content.

Parmanent deleted inamaanisha hiyo content ya kwenye simu wewe user wa kawaida huwezi access. Ila hiyo content ipo kwenye hicho kifaa. Manufactures na hackers wana access na hiyo content kama wakiitaka wanaipata.

Na pia kuhusu watumiaji wa social media kama wakiweka contents kwenye whatsapp, FB, twitter, jf e.t.c wakizifuta huwa address inabadilika ya kwamba user wa kawaida hawezi pata hiyo content ila ukienda kwenye servers za FB, whatsapp, jf etc hizo contents zipo.

Kaa ukijua ya kwamba ukiweka content kwenye devices ya simu au pc au kwenye internet kamwe haifutiki kwenye hicho kifaa. Contents za kwenye internet zipo kwenye servers zinazomiliki hiyo tuvuti au platform.
 
Kwenye Tech, hakuna uwezo wa kufuta data. Hiyo delete unayoandikiwa ni kama geresha tuu. Hiyo simu yako au PC inaweza rudisha data zote ulizowahi kufuta. Delete uwa inabadilisha address ya content tuu.

Ukishaweka content yoyote kwenye simu au PC na ukaifuta anytime hiyo content inaweza kuwa retrieved.
How?
 
Wewe unaelewa nini kuhusiana na storage?

Unadhani kwenye pc au simu au server kuna shimo la taka ukiambiwa parmanent deleted hizo takataka zinachomwa moto?

Ukiweka content kwenye PC au Simu au server, uwa inapewa address ili iwe accessible na user wa kawaida. Uki delete, iyo content inapewa address ambayo wewe user huwezi access hiyo content.

Parmanent deleted inamaanisha hiyo content ya kwenye simu wewe user wa kawaida huwezi access. Ila hiyo content ipo kwenye hicho kifaa. Manufactures na hackers wana access na hiyo content kama wakiitaka wanaipata.

Na pia kuhusu watumiaji wa social media kama wakiweka contents kwenye whatsapp, FB, twitter, jf e.t.c wakizifuta huwa address inabadilika ya kwamba user wa kawaida hawezi pata hiyo content ila ukienda kwenye servers za FB, whatsapp, jf etc hizo contents zipo.

Kaa ukijua ya kwamba ukiweka content kwenye devices ya simu au pc au kwenye internet kamwe haifutiki kwenye hicho kifaa. Contents za kwenye internet zipo kwenye servers zinazomiliki hiyo tuvuti au platform.
Sijaelewa

Simu yangu Ina picha na vids kibao nafuta vinafutika happy vinarudije unasema maswala ya address hata sielewi

Address adress
 
Wewe unaelewa nini kuhusiana na storage?

Unadhani kwenye pc au simu au server kuna shimo la taka ukiambiwa parmanent deleted hizo takataka zinachomwa moto?

Ukiweka content kwenye PC au Simu au server, uwa inapewa address ili iwe accessible na user wa kawaida. Uki delete, iyo content inapewa address ambayo wewe user huwezi access hiyo content.

Parmanent deleted inamaanisha hiyo content ya kwenye simu wewe user wa kawaida huwezi access. Ila hiyo content ipo kwenye hicho kifaa. Manufactures na hackers wana access na hiyo content kama wakiitaka wanaipata.

Na pia kuhusu watumiaji wa social media kama wakiweka contents kwenye whatsapp, FB, twitter, jf e.t.c wakizifuta huwa address inabadilika ya kwamba user wa kawaida hawezi pata hiyo content ila ukienda kwenye servers za FB, whatsapp, jf etc hizo contents zipo.

Kaa ukijua ya kwamba ukiweka content kwenye devices ya simu au pc au kwenye internet kamwe haifutiki kwenye hicho kifaa. Contents za kwenye internet zipo kwenye servers zinazomiliki hiyo tuvuti au platform.

mfano:

1. Kama umepiga picha au video chafu kwenye simu yako kisha ukazifuta, mimi ukinipa hiyo simu yako nina uwezo wa kuzrudisha hizo picha na video zako. Na pia kama hizo picha na video umeziweka kwenye simu ya samsung, tecno au iphone, hawa manufactures wana uwezo mkubwa wa kupata hzo picha na video zako ulizo futa.

2. Kama umeweka picha au viedo chafu kwenye account yako ya fb, whatsap au jf. Hizo picha ukizifuta kwenye account yako haimaanishi ya kwamba umezifuta kwenye server. Hacker akifanikiwa kuhack facebook au whatsapp au jamiiforums hizo picha au video zako atazipata. Pia wamiliki wa hiyo mitandao wana access ya hizo data zoto mnazoziweka kwenye platform zao.
 
Mimi naomba mnishawishi kwamba wazungu sio freemason wakati unaweza chaji simu kwa wireless charge
Pili mziki na picha tunatumianaje kwa Bluetooth
Tatu, tuongeaje mmoja yuko shinyanga mwingiene karatu
 
Back
Top Bottom