Ukifuta picha kwenye simu zinakwenda wapi?

Kwenye Tech, hakuna uwezo wa kufuta data. Hiyo delete unayoandikiwa ni kama geresha tuu. Hiyo simu yako au PC inaweza rudisha data zote ulizowahi kufuta. Delete uwa inabadilisha address ya content tuu.

Ukishaweka content yoyote kwenye simu au PC na ukaifuta anytime hiyo content inaweza kuwa retrieved.
 
Kwenye Tech, hakuna uwezo wa kufuta data. Hiyo delete unayoandikiwa ni kama geresha tuu. Hiyo simu yako au PC inaweza rudisha data zote ulizowahi kufuta. Delete uwa inabadilisha address ya content tuu.

ukishaweka content yoyote kwenye simu au PC na ukaifuta anytime hiyo content inaweza kuwa retrieved.
Thanks
 
Kwenye Tech, hakuna uwezo wa kufuta data. Hiyo delete unayoandikiwa ni kama geresha tuu. Hiyo simu yako au PC inaweza rudisha data zote ulizowahi kufuta. Delete uwa inabadilisha address ya content tuu.

ukishaweka content yoyote kwenye simu au PC na ukaifuta anytime hiyo content inaweza kuwa retrieved.
Unafuta na havirudi mzee tena havirudi tena
 
Back
Top Bottom