Ukiachwa achika

Duh mambo ya kuachana haya yanaumiza muda mwingine. Nilikuwa na mwanamke wangu aisee sikumpenda sana ila nilichoka nae sasa kila nikimuacha analia ananibembeleza namrudia nikanogewa nikamzoea sasa kuna siku akaniudhi nikakasirika sana nikamtamkia bora mapenzi yaishe kila mtu aishi kivyake sasa, yule bint alinijibu sawa kama umeamua hivyo.. Daah ikapita siku tatu mwanamke kakaza wiki kakaza mnh nilikosa raha mimi nilieacha aisee kila nikimuingia labda aniombe msamaha lakini wapi hana time mikausho dadeki ikapita mwezi miezi mwaka miaka mpaka sasa sijui yuko wapi pumbavu zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ndo kwanza tunapeleka watoto Shuleni, mwaka bado unasiku 361 na robo, nyuzi za kuachana zinaanza uchumi utaimarika kweli?
 
ulivyomtosa akaumia akawa anatafuta taratibu alivyopata akaona iwe zamu yako kuumia!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…