Ukiachwa achika

Ukiachwa achika

heri donda la mwili kuliko donda la moyo.

ila ni heri anaekuambia ukweli uweze kuufunga huo kurasa kuliko wale wanao kuacha ujijaze mwenyewe...
unabaki kung'aang'aa sharubu hujui nini la kufanya
 
Nilikupenda Eli...
Uliwezaje nireplace kwa kipindi kifupi hivyo lakinii! Nilishakusamehe aki! Kuwa na amani
.. kumbe hukunipenda eenh, ndio maana hutaki kunisamehe...

Give me another chance beibe!!
Daaah...
Natamani uyasemayo yawe kweli, inabidi tuu nikubali! Achukue mwingine hiyo nafasi!
Niko uliponiacha Eli
Niambie ukwapi nikuzukie chaap! RChugga, Moshi, Dar we sema tu. Sitaki uumie ma!!
Nafikiri uliniacha wewe apo!
Niliumia na sasa kidonda kimepona sijui kwa nini uliamua iwe hivyo Eli
..kwa hiyo umeniacha na sasa upo single? ..but why?
Nafikiri umelijua sasa jamani!
Mm niliambiwa ushemeji umeisha mbele za watu habari na hoja huko aibu niliona mimi
 
Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.

Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.

Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.
Noma sana,watu wanauana kwa ajili ya mapenzi,kuna mjeda kaua mke na yeye kajiua juzi juzi tu.
 
its not easy dada Sky,muda is like investment sio rahisi kupoteza hivi hivi na kuanza moja…watoto pia ni kama mnyororo I think kuachwa ukiwa msichana ni better kuliko ushakua mama..situation becomes more complicated
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom