Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nafikiri uliniacha wewe apo!..kwa hiyo umeniacha na sasa upo single? ..but why?
Niliumia na sasa kidonda kimepona sijui kwa nini uliamua iwe hivyo Eli
Nafikiri uliniacha wewe apo!..kwa hiyo umeniacha na sasa upo single? ..but why?
Niambie ukwapi nikuzukie chaap! RChugga, Moshi, Dar we sema tu. Sitaki uumie ma!!Nafikiri uliniacha wewe apo!
Niliumia na sasa kidonda kimepona sijui kwa nini uliamua iwe hivyo Eli
inawezekana hiyo??? Eti nyeusi uifanye njano!!!!llets be realistic boss
Daaah...Niambie ukwapi nikuzukie chaap! RChugga, Moshi, Dar we sema tu. Sitaki uumie ma!!
Shkamoo anko
.. kumbe hukunipenda eenh, ndio maana hutaki kunisamehe...Daaah...
Natamani uyasemayo yawe kweli, inabidi tuu nikubali! Achukue mwingine hiyo nafasi!
Niko uliponiacha Eli
Nilikupenda Eli..... kumbe hukunipenda eenh, ndio maana hutaki kunisamehe...
Give me another chance beibe!!
Nilikupenda Eli...
Uliwezaje nireplace kwa kipindi kifupi hivyo lakinii! Nilishakusamehe aki! Kuwa na amani



Nilikupenda Eli...
Uliwezaje nireplace kwa kipindi kifupi hivyo lakinii! Nilishakusamehe aki! Kuwa na amani
.. kumbe hukunipenda eenh, ndio maana hutaki kunisamehe...
Give me another chance beibe!!
Daaah...
Natamani uyasemayo yawe kweli, inabidi tuu nikubali! Achukue mwingine hiyo nafasi!
Niko uliponiacha Eli
Niambie ukwapi nikuzukie chaap! RChugga, Moshi, Dar we sema tu. Sitaki uumie ma!!
Nafikiri uliniacha wewe apo!
Niliumia na sasa kidonda kimepona sijui kwa nini uliamua iwe hivyo Eli
..kwa hiyo umeniacha na sasa upo single? ..but why?
Mm niliambiwa ushemeji umeisha mbele za watu habari na hoja huko aibu niliona mimiNafikiri umelijua sasa jamani!
Usilie Eli, nafikiri umempata aliye sahihi zaidi!!..
Noma sana,watu wanauana kwa ajili ya mapenzi,kuna mjeda kaua mke na yeye kajiua juzi juzi tu.Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.
unalolisema lipo, but if u give chance NEGATVE u will get it
Nimepigwa chini rasmi shunie!!Mm niliambiwa ushemeji umeisha mbele za watu habari na hoja huko aibu niliona mimi
Usijali mdogo wanguu mzuri..Mm niliambiwa ushemeji umeisha mbele za watu habari na hoja huko aibu niliona mimi
Mezoea upweke anko!
Hakuna sahihi zaidi yako luv!!!Usilie Eli, nafikiri umempata aliye sahihi zaidi!!..