Dar kama hujaja siku nyingi siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,238
12,751
Dar kama hujaja siku nyingi, siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu. Kichefuchefu ni kitendo cha mwili kujilinda dhidi ya sumu.

Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.

Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.
 
Kazungula Border post 831 km before Beitbridge Je Unatazamia kuja kufika hapa Karibia Nchi Nne Zinakutana Hapa
1710932506163.jpg
 
Dar kama hujaja siku nyingi, siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu. Kichefuchefu ni kitendo cha mwili kujilinda dhidi ya sumu.

Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.

Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.
Naunga mkono hoja!
 
Upo sawa mkuu. Yani kama unaenda Dar kupitia Chalinze ukianza kufika Mlandizi unahisi kabisa hali ya hewa inabadilika, mapigo ya moyo yanaenda mbio, pumzi inakata, unatokwa jasho.

Mpaka uje ufike Mbezi, Kimara, Ubungo unakuwa ushajuta.

Hilo jiji lilinishinda. Nikifika huko ni kuzunguka siku kadhaa tu na kuondoka japo nilisoma na kuishi huko
 
Upo sawa mkuu. Yani kama unaenda Dar kupitia Chalinze ukianza kufika Mlandizi unahisi kabisa hali ya hewa inabadilika, mapigo ya moyo yanaenda mbio, pumzi inakata, unatokwa jasho.

Mpaka uje ufike Mbezi, Kimara, Ubungo unakuwa ushajuta.

Hilo jiji lilinishinda. Nikifika huko ni kuzunguka siku kadhaa tu na kuondoka japo nilisoma na kuishi huko
Hamuishi Kuja Dar mamia Kwa makumi wanatoka mikoani na kuingia Dar Kila siku huku wakijiapiza kutorudi Tena huko kwenye hewa safi.Siku mkiacha unafiki hii nchi itapona.
 
Ndugu zangu kila wakiniuliza unakuja lini dar? Nawajibu nakuja kufanyeje kwenye jiji chafu kama hilo? Lenye joto kali na harufu mbaya na nzito? Kati ya bolt 11 nilizopanda kwenye mizunguko yangu 7 hawawashi AC sijui kwann. Anyways kila nikipata safari ya dar inakuja sonona ila kwa mbali nacheka sababu tinder ipo vere ektive jijini 😁
 
Tokea nihamie dar sijawahi kufikiri kuondoka sasa niende wapi kwa hapa Tanzania??

Ukiachana na kwenda nyumbani Arusha kusalimia dar ndio my second home.
 
Dar kama hujaja siku nyingi, siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu. Kichefuchefu ni kitendo cha mwili kujilinda dhidi ya sumu.

Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.

Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.
Dar es Salaam is among of the most dirtiest and unplanned towns in the world.

'Dsm ni Jiji au Zizi ??????'
 
Upo sawa mkuu. Yani kama unaenda Dar kupitia Chalinze ukianza kufika Mlandizi unahisi kabisa hali ya hewa inabadilika, mapigo ya moyo yanaenda mbio, pumzi inakata, unatokwa jasho.

Mpaka uje ufike Mbezi, Kimara, Ubungo unakuwa ushajuta.

Hilo jiji lilinishinda. Nikifika huko ni kuzunguka siku kadhaa tu na kuondoka japo nilisoma na kuishi huko
Hahahah
 
Dar kama hujaja siku nyingi, siku ya kuja lazima udakwe na kichefuchefu. Kichefuchefu ni kitendo cha mwili kujilinda dhidi ya sumu.

Mtu akila sumu au kitu cha kudhuru mwili una sense na kuleta kichefuchefu ili ukitapike. Sasa hata hewa nzito na mbaya inaenda kushtua eneo lile lile linaloshtuliwaga na sumu. Na mwili unajua njia nzuri ni kuleta kichefuchefu na kuitapika hiyo sumu.

Lakini ukiwa mwenyeji mwili unazoea na kujua kuwa kitu kile siyo sumu. Ndiyo maana wenyeji wanadunda tu. Mji wa Dar ni mchafu sana, si kwa mazingira na si kwa moshi wa kutoka kwenye magari kuukuu. Ile habari ya Michael Jackson kuziba pua alipofika Dar es Salaam inawezekana ni kweli kabisa.
Mm Hilo jiji nalielewa sna umenipa ujanja mwingi sna natumiaa akili za dar kuishi dodoma pakame

Kila mwezi al
lzm nilazimiashe safri za kwenda dar mobibo Kisha keko machungwa Kisha kigamboni gezaulele. Alfu anarudi vikindu namkamua mzaramo wangu vzr
 
Hamuishi Kuja Dar mamia Kwa makumi wanatoka mikoani na kuingia Dar Kila siku huku wakijiapiza kutorudi Tena huko kwenye hewa safi.Siku mkiacha unafiki hii nchi itapona.
Ndiyo jiji lenye hela, vyuo vikuu, biashara na serikali. Halikwepeki.
 
mji mchafu sana wenyeji wanakula chakula na nzi. Kuna harufu fulani kama ya nya inatembea na upepo.
 
Back
Top Bottom