Ujumbe wangu niliopewa na Mungu kuhusu balozi polepole

Ujumbe wangu niliopewa na Mungu kuhusu balozi polepole

Khanji kapoor

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2024
Posts
3,368
Reaction score
8,404
Sio kawaida kwangu Jambo moja kuliota Mara nyingi kiasi hiki

mara nyingi nimeota balozi polepole yupo hai

kitu kilichonifanya kupandisha uzi ni kuwa sauti ya Mungu imenitumia Mimi kuwafikishia ujumbe wenye nguvu kwa sasa



Mungu amenituma nifikishe ujumbe kwenu kuwa mumuachie huru balozi polepole
mkimuachia mtaona Tanzania itakavyopona nawaomba msifuanye mioyo yenu kuwa migumu


Siwapangii wala kuwaamru lkn mjaze hekima juu ya hili

asanteni Mungu awabariki km mtatii sauti ya Mungu
 
Sio kawaida kwangu Jambo moja kuliota Mara nyingi kiasi hiki

mara nyingi nimeota balozi polepole yupo hai

kitu kilichonifanya kupandisha uzi ni kuwa sauti ya Mungu imenitumia Mimi kuwafikishia ujumbe wenye nguvu kwa sasa



Mungu amenituma nifikishe ujumbe kwenu kuwa mumuachie huru balozi polepole
mkimuachia mtaona Tanzania itakavyopona nawaomba msifuanye mioyo yenu kuwa migumu


Siwapangii wala kuwaamru lkn mjaze hekima juu ya hili

asanteni Mungu awabariki km mtatii sauti ya Mungu
 
Back
Top Bottom