Bado sijajua kama shida ni hizi social networks au nini watu wanakuwa na post za kitoto sana kuna mambo wazee wanazungumza vitu vya kijinga Kabisa. Hii post imekaa Ki udaku udaku hata Kama Una bifu na mtu jitahidi kulinda status
Kwa umri na heshima yake kama ana uhakika aitendee haki busara yake!!!!
Nani alikwambia kuwa ktk bifu kuna kulinda status? Ikiwa ni suala la kulinda status, basi hilo si bifu tena!
Hapo Mzee Mengi sijamwelewa kabisa.Kuna watu wenye akili miaka hiyo lakini nafasi za sekondari zilikuwa chache.Hivyo si sahihi lulinganisha kukosa nafasi ya sekondari na uprofesa
Hil zee kama la kike vile
Fanya utafiti kwanza,upo uhusiano mkubwa sana wa mfumo wa maisha ya mtu na njia alizopitia.Fatilia MULUGO,MUHONGO na hata MAGHEMBE.hivi wewe unaona sawa kwa waziri kusema kua watanzania wanaweza biashara za kukamua juice na sio gesi na mafuta?
kama mamayako alikosea timing waachie wenyenyita aka nyita zao wale bata mpwamzee mengi watu wanakuheshimu unatongoza na kuishi na vitoto vidogo na kuzaa zaa ovyo wakati mabinti wako wakubwa kuliko hivyo viruka njia ...utaleta magonjwa ya aibu hata hizo hela za dhuruma unazongangania hazitakusaidia mke mkubwa umeachia vijana wenye nguvu....washughurike utakufa na viagra endelea yetu macho.
nyota shidaa mpwaakama mamayako alikosea timing waachie wenyenyita aka nyita zao wale bata mpwa
kama mamayako alikosea timing waachie wenyenyita aka nyita zao wale bata mpwa
Siyo kiwilaya tu mkuu! Shule za sekondari wakati huo zilikuwa za kuhesabu. Miaka ya akina Muhongo inaweza kuwa ni ile ya 70s, hapo unakuta mkoa mzima una shule 2 au 3 za sekondari. Kwa mfano miaka hiyo kwa mkoa kama Shinyanga tulikuwa na Shy bush (Shinyanga Sekondari) na Shycom peke yake, lakini sasa hivi ziko ngapi? Kwa Mwanza kulikuwa na Nsumba, Bwiru zote mbili, Nganza, Sengerema, Mwanza Sec sasa hivi ziko ngapi? Miaka hiyo kurudia ilikuwa sawa tu!!Mkuu haya ya kurudia hayashangazi kipindi kile,darasa lote mwalimu ndo mwenye kitabu,,watu wamerudia Sana wapate hata ualimu,walipopata ualimu wamejiendeleza wameenda mpaka vyuo,watu wamefight Sana na wengine kurudia shule tofauti zaidi ya Mara nne,haishangazi kwa enzi kama za mhongo kurudia shule ya msingi,maana secondary zilikuwa za kuhesabika kiwilaya,Wakifaulu watatu darasa moja wamejitahidi,leo hii darasa ina wanafunzi kama 100 wanachaguliwa kama 60 shule za sec zipo kila mahali