Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

10897878_881467328572779_4562433020856807801_n.jpg



[TABLE="class: uiGrid _51mz fbPhotoPageInfo"]
[TR="class: _51mx"]
[TD="class: _51m- vTop fbPhotoUfiCol"]
Saimon Frank

Heri ya Mwaka mpya. - with Patrick Ole Sosopi, Daniel Naftal, Julius S. Mtatiro and Mwita Julius Gat Mbeya City.
17 hrs

  • Amos Marwa Nyamaisa, Stela Mangula, Bahati David and 60 others like this.




  • 2 shares


  • 10433889_10152549458618640_7756958381437920172_n.jpg


    Mathias Paul Lyamunda Muhongo
    17 hours ago





  • 10882213_581362695341425_1072392931808102100_n.jpg


    Wilfred Pugutu Hilo sio dongo kwa Jk kweli!
    17 hours ago · 1





  • 282750_184925611568677_7696194_n.jpg


    Amon Mkoga Muhongo huyo
    17 hours ago · 2





  • 1463455_478637452277880_7216070476135507069_n.jpg


    Eugine Ferdinand Makiluli Muhongo alifel mara nying alafu anakibur mbaya hajui kama kod yetu ilmsomesha na tibaijuka cwapendi
    17 hours ago · 4





  • 10882139_1460712190834916_5940121081858605332_n.jpg


    Mjungu Mabeba Nyamuko Mkwele huyo
    16 hours ago · 1





  • 1236499_593450647411289_1302295116_n.jpg


    Winfrida Selengia Hii kali
    16 hours ago





  • 10329046_1730466347178611_7332278658524521240_n.jpg


    Mussa Mofulu Ni mhongo huyo
    15 hours ago · 1





  • 1525209_767516959937800_9090521038513975606_n.jpg


    Mandela Chikawe ???????????????????????
    15 hours ago





  • 1463455_478637452277880_7216070476135507069_n.jpg


    Eugine Ferdinand Makiluli Wlifred unajua kubashir prof jk nin!
    15 hours ago





  • 1743699_416635475154852_3467306755311936629_n.jpg


    Barnabas Nyanda Aacha kuwazarau wazawa
    14 hours ago





  • 10155670_878745192158792_1705454334739655799_n.jpg


    Mossy Magere kwani huoni anastahili kupongezwa wangapi wanafeli wanaishia mitaani wanaishia kua vibaka na kuuawa huyo anastahil pongezi anajuhudi na atafika mbali tuache majungu tumechoka na chokochoko.
    13 hours ago





  • 10469047_726164250777323_2470474174222632264_n.jpg


    Nkundwe Mwaipopo Wetengere Haahhhaahhaah duh Mengi no nooma
    13 hours ago · 1





  • 12228_10203328342947831_5985382609593366245_n.jpg


    Sylivester Kijigo Mambo yanashangaza sana haya. Huyu Mengi yeye amesoma Kwa Kiwango Kipi? Huu Udaktari wa Kupewa unamzuzua.Taifa letu bwana. Wajinga wana sauti Kuliko Wenye Elimu. Stupid are very Confident while Clever are full of d aught. Hv Mbona tunashabikia huyu Men...See More
    9 hours ago





  • 10647029_732381376836654_2653113788639730263_n.jpg


    Sophia Hebron Ha ha ha ha ha
    9 hours ago





  • 1463455_478637452277880_7216070476135507069_n.jpg


    Eugine Ferdinand Makiluli Silvester kama mengi amezin na dada yako n umalaya wake sio wa jamii namengi anafanya kaz binafsi huyo prof anafanyakaz kwenyekodi zetu lazima awe mnyenyekevu sana
    9 hours ago





  • 12228_10203328342947831_5985382609593366245_n.jpg


    Sylivester Kijigo Acha Ujinga wewe Eugine. Hata huyo Mengi ananunua sawa Mafuta ya Gari yanayoagizwa Nje kwa kodi zetu.Huyo mengi ananunua Sukari inayokuwa imported hapa nchini kwa Kodi zetu.Yako maeneo mengi sana yanayhusisha kodi zetu na mengi ananufaika napo. Narudia tena.Huu Ufirauni wa Mengi aende akaufanyie kwingine.Hawezi kuununua U proffesor wa Geology.!Pamoja na Utajiri wale bado naamini Mengi ni Lijinga Kabisa!
    9 hours ago · Edited





  • 10155670_878745192158792_1705454334739655799_n.jpg


    Mossy Magere jamani i mi napita ila sijui ht anayesemwa hp ninani lkn nikimjua anahitaji pongezi na mfano wa kuigwa alikuwa kidume na kama ni mwanamke alikuwa imara,msitukane nadhani mengi hawezi kuandika hii lbd wapambe wake na kama ni yéyé basi atakuwa anashida m...See More
    9 hours ago





  • 10636102_1377389699224120_4564823067914814932_n.jpg


    Renalt Mkenda Napita tu mm cjamuelewa anamaanisha nn
    8 hours ago





  • 1958036_735329413215674_6461578764476004587_n.jpg


    Kitambara Mafuru Mara tatu umefell halafu huna unyenyekevu?
    7 hours ago · 1





  • 1958036_735329413215674_6461578764476004587_n.jpg


    Kitambara Mafuru Watu huwa wanasahau waliko toka,kibuli cha mtu huwa kina backup nyuma either individual au any other person from you
    7 hours ago





  • 10858598_1041448785881229_4183873832336689841_n.jpg


    Frank H Mganga Sylivester Kijigo. Punguza jazba japo kidoogo. Sio sukari na mafuta (na vitu vingine), vinaingizwa nchini kwa kodi zetu. Enzi za ujamaa ndio ilikuwa hivyo
    2 hours ago









[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
jamani Mengi ameshakanusha kuwa kuna mtu anatumia fake id kwa jina lake twitwer na fb..anachafua hali ya hewa..
 
Jana Mr Reginald Mengi alipost kwenye Istagram yake kwamba kuna Mtu aliwahi kurudia la Saba mara tau na leo ni Le Porofeseri akimaanisha Sospeter Muhongo

Je ana hoja>?


Kama unamwona Mengi hana hoja,ume-m'follow ya nini,amekutumia friend request,pilipili.ya shamba yakuwashia nini?

Nusu ya wakazi dar ni ma..chi...zii..m'block usione tweet za Mengi!
 
Sasa Tanzania kama hujaungaunga shule za kata ungetokaje na wewe siyo mtoto wa mwalimu,miaka ya 90 huko shule ya msingi yote anaweza asifaulu hata mmoja watu wanarudia japo wafaulu,kwahiyo mheshimiwa kurudia primary sishangai

Acha kuwapa moyo vilaza!
 
Warudiaji tupo wengi unapotukana kwenye social media tahadhari na maneno usishangae ukawakejeli wazalendo 200 wakiamua kurusha mawe vita yake hutaiweza.
Kama ni kweli nchi inaongozwa na kuundwa na vilaza wengi basi ni ndoto kutoka katika lindi na tope la umasikini na utegemezi wa wahisani.
 
kurudia ni ukilaza?

Ndio maana yake!
Imagine kwa Tanzania ya leo nearly 42% wamedumaa kimwili probably kiakili!kipindi cha kina Muhongo si ndio ilikuwa balaa?

Tena kwa kurudia mara tatu yaonesha ukilaza wa kiwango cha juu.
 
Hakuna hoja,muhongo 2tamkumbuka kwa lipi? Kwa uongo na kupiga dili.

Tutamkumbuka kwa T2014ESCROW...

Muhongo kama angekuwa na akili kama anavyojisifu angetoboa mtihani wa std vii mara moja tu na sio kufoji Mara nne. Nakumbuka Enzi hizo tulikuwa tunayaita majitu yaliyofoji kama Muhongo "maiti"
 
Ndio maana yake!
Imagine kwa Tanzania ya leo nearly 42% wamedumaa kimwili probably kiakili!kipindi cha kina Muhongo si ndio ilikuwa balaa?

Tena kwa kurudia mara tatu yaonesha ukilaza wa kiwango cha juu.

kwa hiki kipindi sawa ni ukilaza,but zamani hata wazazi hawataki watoto wasome na hawathamini elimu,kuna walifaulu wazazi wakagoma na wapo waliorudia kwa jitihada zao ili wapige hatua
 
kwa hiki kipindi sawa ni ukilaza,but zamani hata wazazi hawataki watoto wasome na hawathamini elimu,kuna walifaulu wazazi wakagoma na wapo waliorudia kwa jitihada zao ili wapige hatua
Huyu alifeli mara mbili/tatu na sio kwamba alifaulu na kukataliwa kuendelea na shule!
 
Jana Mr Reginald Mengi alipost kwenye Istagram yake kwamba kuna Mtu aliwahi kurudia la Saba mara tau na leo ni Le Porofeseri akimaanisha Sospeter Muhongo

Je ana hoja>?
Reginald Mengi ni CCM na Prof Muohngo ni CCM
Ukikuta wakubwa wa CCM wameanza kupigana ni dalili ya Mataifa kuanzisha Vita na hiyo ndo dalili kuu ya anguko la CCM
 
Si bora yeye alifeli na akapambana mpaka leo hii ni profesa kuliko waliofeli na kuishia kuvuta bangi....
 
Si bora yeye alifeli na akapambana mpaka leo hii ni profesa kuliko waliofeli na kuishia kuvuta bangi....

Apunguze arrogance kwa sababu kuna watu hawajawahi kufeli.
Ndio maana alienda kusomea miamba na sio kule kwenye fani zenye ushindani.
 
kwa hiki kipindi sawa ni ukilaza,but zamani hata wazazi hawataki watoto wasome na hawathamini elimu,kuna walifaulu wazazi wakagoma na wapo waliorudia kwa jitihada zao ili wapige hatua

Mkuu unabishana na taahira! Hajui miaka hiyo shule za sekondari zilikuwa chache sana na ushindani ulikuwa mkubwa sana tofauti na sasa ambapo mpaka kata zina shule 2 za sekondari! Hivyo miaka hiyo kukosa nafasi ya kwenda sekondari ilikuwa kugusa tu!! Pia miaka hiyo shule moja ikishindisha watoto wengi ilikuwa inafungiwa miaka karibia 5 bila kupeleka mwanafunzi hata mmoja!

Kwa kifupi sasa hivi magoli yametanuliwa mno ndo maana sasa hivi hatushangai tena tunaposikia hata asiyejua kusoma anaenda sekondari!
 
Mkuu unabishana na taahira! Hajui miaka hiyo shule za sekondari zilikuwa chache sana na ushindani ulikuwa mkubwa sana tofauti na sasa ambapo mpaka kata zina shule 2 za sekondari! Hivyo miaka hiyo kukosa nafasi ya kwenda sekondari ilikuwa kugusa tu!! Pia miaka hiyo shule moja ikishindisha watoto wengi ilikuwa inafungiwa miaka karibia 5 bila kupeleka mwanafunzi hata mmoja!

Kwa kifupi sasa hivi magoli yametanuliwa mno ndo maana sasa hivi hatushangai tena tunaposikia hata asiyejua kusoma anaenda sekondari!

Mkuu haya ya kurudia hayashangazi kipindi kile,darasa lote mwalimu ndo mwenye kitabu,,watu wamerudia Sana wapate hata ualimu,walipopata ualimu wamejiendeleza wameenda mpaka vyuo,watu wamefight Sana na wengine kurudia shule tofauti zaidi ya Mara nne,haishangazi kwa enzi kama za mhongo kurudia shule ya msingi,maana secondary zilikuwa za kuhesabika kiwilaya,Wakifaulu watatu darasa moja wamejitahidi,leo hii darasa ina wanafunzi kama 100 wanachaguliwa kama 60 shule za sec zipo kila mahali
 
Hayo maneno kama ukiyasoma na kuyaelewa katika mtazamo wa uchanya yanaweza kutumika kuwapa moyo wale wenye wakati mgumu kielimu na kimafanikio kutia juhudi...

Kuanguka si mwisho wa safari...
nakubaliana na wewe kabisa
 
Back
Top Bottom