Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

wenyewe mnaona kwa macho yenu wala sihitaji maswari FaizaFoxy Daudi1 Ritz

nafikiri ni maneno mazuri ya kuwapa moyo WATOTO WANAOFELI MTIHANI WA DARASA LA SABA....kwamba wasiwe na wasiwasi hata wakifeli la saba wanaweza kujiendeleza hadi kuwa maprofesa!!!!
 
nafikiri ni maneno mazuri ya kuwapa moyo WATOTO WANAOFELI MTIHANI WA DARASA LA SABA....kwamba wasiwe na wasiwasi hata wakifeli la saba wanaweza kujiendeleza hadi kuwa maprofesa!!!!

mkuu umenifurahisha aiseee
 
Mzee Mengi amepotoka, kwa umri wake huo no utovu Wa hekima maana hiyo ni hoja dhaifu sana.

Mengi atueleze ubaya uko wapi? Kwamba kurudia la saba Mara tatu kunahusiana vipi Na tofauti zao? Kosa LA Prof. Muhongo hapo limo wapi? Kurudia Mara tatu hakumfanyi Prof. Muhongo kuwa duni, mafanikio ya Prof. Muhongo kitaaluma ni makubwa kuliko ya Mengi. Kama Mzee Mengi anajiona bora kwa yeye kutorudia darasa lolote basis atuwekee elimu take ili tuamue nano yuko juu.

Nashauri Prof. Muhongo asijibu upuuzi huo Wa Mzee Mengi.

Vv

hivi kurudia darasa la saba inaruhusiwa??? kama jibu ni ndio kwanini huwa warudiaji wanabadilisha majina??
 
hivi kurudia darasa la saba inaruhusiwa??? kama jibu ni ndio kwanini huwa warudiaji wanabadilisha majina??

usimlaumu mtu anayerudia darasa la saba siyokuwa anapenda arudie bali kukosekana kwa hela kwenda private school
 
usimlaumu mtu anayerudia darasa la saba siyokuwa anapenda arudie bali kukosekana kwa hela kwenda private school

nimeuliza hivi......kurudia darasa la saba inaruhusiwa???kama jibu ni ndio kwanini warudiaji wanabadilisha majina???

sijamlaumu yeyote.
 
Ushahidi kwamba alirudia darasa la saba mara tatu na kwamba alilazimika kubadili jina lake na shule uko wapi?

Na alikuwa anaitwa nani kabla ya kubadili shule?
 
Ukijaribu kutafakari kwa kina, utagundua muhongo ni msomi mzuri wa vyeti na sina uhakika juu ya uhalali wa vyeti vyake. Kingine, muhongo siyo msomi wa talent kabisa, hana kipaji halisi katika taaluma yake.
 
nimeuliza hivi......kurudia darasa la saba inaruhusiwa???kama jibu ni ndio kwanini warudiaji wanabadilisha majina???

sijamlaumu yeyote.

hairuhusiwi labda uwe na matatizo ambayo wizara ya elimu inayatambua ndo unaweza kurudia,hivyo basi yale majina ambayo huyatumia wale watahaniwa waliofeli la saba ni kwamba yanakuwa ya wale wanafunzi ambao wameacha shule
 
Huyo "Bwana mmoja".

ha ha ha ha hawezi kuweka ushahidi kwasababu hata jina hakutaka kulitaja....tuchukulie tu kama hadithi ya kuwapa moyo vijana wasifikiri kufeli darasa la saba ndio mwisho wa maisha kielimu....unaweza hata kuwa profesa, kwa kweli inatia moyo
 
ha ha ha ha hawezi kuweka ushahidi kwasababu hata jina hakutaka kulitaja....tuchukulie tu kama hadithi ya kuwapa moyo vijana wasifikiri kufeli darasa la saba ndio mwisho wa maisha kielimu....unaweza hata kuwa profesa, kwa kweli inatia moyo

Kama kweli ni yeye ndiye kaandika hivyo basi hana ujasiri wa kumtaja huyo mtu.

Kwa kifupi, ni fisi.
 
Hapo Mzee Mengi sijamwelewa kabisa.Kuna watu wenye akili miaka hiyo lakini nafasi za sekondari zilikuwa chache.Hivyo si sahihi lulinganisha kukosa nafasi ya sekondari na uprofesa
 
Profesa Muhongo ni waovyo kabisaa. Kiongozi wa Umma unakuwa na dharau kwa unaowaongoza!!. Hata kama unawadharau basi si uache kichwani, sasa kwanini uilete mdomoni kama kichaa!!. Huu uprofesa ni waajabu aisee!!. Ptuuuu!.
 
Back
Top Bottom