Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Inasema usizini hebu km una Bibilia hapo nenda mwisho wa Biblia yako kwenye tafsiri ya maneno uone hilo neno kwenye Biblia lina maanisha nini na nani walikuwa wanahusika nalo kati ya wanaume na wanawake.!! Halafu utarudi kuniambia..
Mkuu hebu usinichoshe kuhangaika kutafuta andiko ambalo halipo hakuna andiko linalomruhusu mwanaume kumsaliti mkewe wala kuoa mke zaidi ya mmoja ila nimeshakwambia kuna maandiko yamekataza uzinzi bila kuspecify jinsia

Mfano kuna hilo la usizini kuna andiko linasema ndoa na iheshimiwe na watu wote wazinzi na waasherati Mungu atawahukumia adhabu kuna andiko linasema usitamani mke wa jirani yako tena hiyo ni amri na kuna andiko linasema aziniye na mwanamke hana akili tena hapo kwenye hayo maandiko mawili ya mwisho ndo nimekufunga kabisa maana hapo anayeongelewa ni mwanaume
 
Mkuu hebu usinichoshe kuhangaika kutafuta andiko ambalo halipo hakuna andiko linalomruhusu mwanaume kumsaliti mkewe wala kuoa mke zaidi ya mmoja ila nimeshakwambia kuna maandiko yamekataza uzinzi bila kuspecify jinsia

Mfano kuna hilo la usizini kuna andiko linasema ndoa na iheshimiwe na watu wote wazinzi na waasherati Mungu atawahukumia adhabu kuna andiko linasema usitamani mke wa jirani yako tena hiyo ni amri na kuna andiko linasema aziniye na mwanamke hana akili tena hapo kwenye hayo maandiko mawili ya mwisho ndo nimekufunga kabisa maana hapo anayeongelewa ni mwanaume
Amri ya 9. Usitamani mwanamke asie mke wako
 
Kwahiyo mwanamke akichepuka ndo familia itakuwa ya hovyo ila mwanaume akichepuka familia inakuwa bora?
Sijamanisha mwanaume achepuke no! ,mwanaume akichepuka ni utasi wake mwenyewe wapo wengi walioa wanajiheshimu na wanachukulia kuchepuka Kama dhambi kubwa na wanaheshimu ndoa zao, alafu kitendo Cha mwanamke kuchepuka kwa gia ya mwanaume anachepuka hapo ndoa itakuwa mtaro wa dampo linalozoa kila uchafu.
 
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.

Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !

Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!

Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"

Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"

Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.

Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!

Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.

Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!

Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.

Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.

Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.

Asante sana kwa ujumbe wako murua, ubarikiwe na wanaloga kweli kweli
 
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.

Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !

Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!

Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"

Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"

Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.

Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!

Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.

Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!

Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.

Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.

Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
unafaa kuwa mke una sifa stahiki
 
Anaponea wapi kama sio kudanga...
Kuna mtu anaweza kukaa miaka na miaka bila kunywela sidbani

Anyway huhitaji mtoto?
Mkuu siyo kila binadamu alikuja duniani kutimiziwa mahitaji yake yote ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na watu masikini Mungu anangemfanya kila mtu awe tajiri ili awe na maisha mazuri sababu hakuna mtu anayependa maisha mabaya

Ndivyo ilivyo ili maisha yabalance lazima kuwe na waliopata na waliokosa hivyo basi siyo kila aliyekuja duniani atahitaji kuwa tajiri, kufanya tendo la ndoa, kuoa/kuolewa wala kuzaa ndo maana nikakwambia usikariri maisha
 
Sijamanisha mwanaume achepuke no! ,mwanaume akichepuka ni utasi wake mwenyewe wapo wengi walioa wanajiheshimu na wanachukulia kuchepuka Kama dhambi kubwa na wanaheshimu ndoa zao, alafu kitendo Cha mwanamke kuchepuka kwa gia ya mwanaume anachepuka hapo ndoa itakuwa mtaro wa dampo linalozoa kila uchafu.
Sawa
 
Kama michepuko inawapunguzia hasira na kusababisha ndoa idumu sasa kwanini mnawadharau wanawake wanaotembea na waume za watu?
Mkuu,nilishakuambia mwanamke usijilinganishe na mwanaume.
Akili zetu haziko sawa.
Wala ashki zetu hazipo sawa.
 
Hizo ni mbinu tu mnazotumia wanaume kutuaminisha wanawake kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka ili hata tukitaka tuwaacha kwa hiyo sababu tuishie tu kughairi na kusema "wanaume wenyewe ndo wale wale tu wote wanachepuka tutaacha wangapi"

Na huwa mnafurahi kweli mkisikia tunaongea kauli kama hiyo na hiyo kauli ndo inawapa sifa za kuzidisha umalaya wenu na ni wanawake wajinga tu ndo wanaendelea kuisema hiyo kauli na ndo hao wanaolazimisha hadi kuwa na waume za watu ila wanawake wengi tumeshashituka siku hizi

Kwa sababu wanaume duniani mpo billion 3 kama sikosei hivyo haiwezekani wanaume wote muwe na tabia moja hakuna tabia ambayo ni common kwa binadamu wote duniani kila kitu kina kinyume chake ili maisha yabalance anyway maneno yangu siyo sheria kila mtu abaki na anachoamini

Ila hiyo ya kwamba "hakuna mwanaume asiyechepuka" mtaendelea kuwadanganya hao hao wanawake wajinga ila mimi binafsi hakuna mtu yeyote narudia hakuna mtu yeyote anayeweza kubadilisha mtazamo wangu ninaamini kuna wanaume wasiochepuka tena wapo kwenye kila nchi duniani haijalishi kama mimi nitampata mume asiyechepuka au anayechepuka ila ninachojua ni kwamba wasiochepuka wapo fullstop
Hivi, umeolewa?
Naona una mawazo fulani ya very unique world ambayo haipo kwa maisha uliyopo.
You are lying to yourself.
 
Back
Top Bottom