Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Si wanaume tunapenda kudekezwa kama watoto,sasa mama akishakuwa na watoto mapenzi yanahama...unajikuta unatafuta wa kukudekeza ingawa kuna garama pia.Lakini ndio maisha..
Sasa basi kama mnataka kudekezwa maisha yote msizae watoto.
Au ndio ivyo chepuka fanya kama nilivyokwambia
 
Sasa basi kama mnataka kudekezwa maisha yote msizae watoto.
Au ndio ivyo chepuka fanya kama nilivyokwambia
Watoto wanaumuhimu mkubwa sana hasa miaka inavyokimbia...inabidi kuchepuka tu kwa akili bila kuleta madhara
 
Kwani tunagombana basi
Wewe
Kama unajilisha upepo jilishe tu kwa amani.
Unawashauri wanaume tena kama unawajua kuliko wanavyojijua.
Kwa taarifa yako mwalimu wa mapenzi wa mwanaume ni sehemu zake za siri na sio mwanamke na kwa msaada zaid mwanamke anaweza kumsadia mwanaume kwenye maombi tu tena ukimuomba kwa adabu na unyenyekevu aliyemuumba mwanaume amdhibiti kiumbe wake na sio hata mzazi wake.
Yaani kabisa unatoka mbele kabisa kuwashauri wanaume kuhusu wanawake?? Mwanaume hashauriwi kuhusu mapenzi ila matokeo ya mapenzi ndio mwalimu wa mwanaume.
 
Kabisa
Ila usijali kila mtu atajitambua kwa muda wake
maisha sio fair kila siku ninasema kama maana nishasoma uzi hapa hapa wanawake wakawa wana sema wanawapenda sana wanaume waliokwisha kuwa kwenye ndoa eti wanajua kucare na hawana usumbufu na inafikia hatua hadi wanajitongozesha sijui sisi binadamu tunakwamaga wapi ila kama tungekua tuanjua thamani zetu haya yote yasingetokea
 
Ushauri mzuri;kwa tunaojielewa huwa tunaakikisha 3/4 ya mapato ni kwa bi mkubwa pamoja na maendeleo,na 1/4 ni kwa michepuko na starehe,na mchepuko ili ufaidi matunda yangu lazima nimjaze tumbo (wako wawili tu);kuhusu kulogwa,nilishawaambia watu wangu wa karibu pamoja na bi mkubwa,kama nitakuwa tofauti kimaamuzi,inabidi waingie kazini.
hapo unatuwakilisha wengi mkuu,big up sana
 
Wengine wanachepuka mpaka wanahama kabisaa na mji,.siku mambo yameenda alijojo unamuona huyo anarudi kwa mkewe kanyonyoka hana hata mia mfukoni,.ukurutu na kupe vimemganda mpaka kwenye kope,.hapo utamsikia "wewe ni mke wangu hata iweje nisamehe tuu" kirahisirahisi tuu chee...ukimpokea ukampikia uji wa lishe siku 2 tuu huyoooo kwa mama Afghanistan tena..lol...wanawake mnaovumilia huu ujinga in the name of ndoa aseee mtahitaji tuzo za Nobel..na nahisi mtakuwa na pepo ya pekeenu mbinguni.
Hahahahaha........umenifanya nicheke kama mwehu eti "mama Afghanistan" huyu anapatkana WAP?
 
This thing is too complicated than you think. Ingia kwanza kwenye ndoa ndio tuongee vema
 
This thing is too complicated than you think. Ingia kwanza kwenye ndoa ndio tuongee vema
Sidhani kama hakuna kisichojulikana mkuu.
Ukiona nmeongea wrong ujue sio situation zako izo
 
Basi usishaurike endelea na hio mentality yako ya kitoshaurika mkuu.
Jilishe tu upepo hakuna atakae kuombea kabisa.
Ukichoka utakaa kitako
Ndio kama hivyo aiseee, sisi hatushauriwi ila tunaosaidiwa kuomba dua kwa aliyetuumba atudhibiti.
 
kunasehem uliposema kuwa mchepuko unapaswa usitume sms ukiwa na mke wako ,hapo ndo nimeelewa na ndo uwa nafanyia kazi.
Na pia kuchepuka mkeo asijue.Ukiwa njiani kutoka kwa mchepuko unapiga lucozade boost , Unakuwa new again Mke unampa vyake sita .

Hawezi waza kuwa unachepuka.


Msiniulize kuwa hiyo ya kuboost nimejulia wapi
 
adui ya mwanamke ni mwanamke mwenyewe, hawa waume zenu wanachepuka kwa wanawake wenzenu tena wakifahamu kabisa ni mme wa mtu fulani, mkikaa kikao kikubwa mkaonyana hili wanaume watashindwa kabisa.
 
Back
Top Bottom